Hezbollah waliogopa matumizi ya simu kwa hofu ya Israel kuhack mawasiliano, vifaa mbadala waliuziwa na Israel bila kujua, wamestuka baada ya shambulio

Mazombi yanalipukiwa maskioni huku yakiita alkahu akbar akbar...
Yaani nimependa hii hadi naumwa.
Sasa inakuwaje huko gaza ambapo tunaambiwa hamas wamemalizwa huku makomando wa israel kila siku wanauliwa kama jana wanne wamewaishwa kuzimu
 

Attachments

  • Screenshot_20240918-113603_Chrome.jpg
    423.3 KB · Views: 4
Sasa inakuwaje huko gaza ambapo tunaambiwa hamas wamemalizwa huku makomando wa israel kila siku wanauliwa kama jana wanne wamewaishwa kuzimu
Hamasi hawajamalizwa mazayuni ndo wameisha woteee na vifaa vyakijeshi vilivyotekwa hamasii saiv washavipeleka sirya
 
Sasa inakuwaje huko gaza ambapo tunaambiwa hamas wamemalizwa huku makomando wa israel kila siku wanauliwa kama jana wanne wamewaishwa kuzimu
Wakiristo wa jf wanachekesha sana. Nikiziona comments zao hucheka sana
 
Kunywa maji mkuu ..naona umehumuka kwa hasira...acha magaidi wafe tu hakuna dawa ya magaidi Zaid ya kifo
 
Wamepata walichokitafuta
 
Intelligence is every thing stay tune
 
Sasa inakuwaje huko gaza ambapo tunaambiwa hamas wamemalizwa huku makomando wa israel kila siku wanauliwa kama jana wanne wamewaishwa kuzimu
Kwani ishakuwa movies za Hollywood hadi komando asiuliwe, usiichukulie battle field kiwepesi namna hiyo.. battle field is hell, a chance to survive is almost zero..
Kwa mtu ambaye haijui rangi ya medani lazima aichukulie ki Hollywood ama ki Bollywood.
Kufa kwa 4 Askari ni just normal kabisa yaani.
 
Wakiristo wa jf wanachekesha sana. Nikiziona comments zao hucheka sana
Kuna uhusiano gani kati ya wakristo na kiendeleacho hapo Israel?
From what I know,Kuna Muslim, Christians, Jews, Atheists Israelites,
Though Jews surpasses all other religions in term of population..
The truth is,IDF is made up of all religions, Kuna waIslam ambao ni WA Israel kabisa na wapo IDF wanapigania Taifa lao.
Kwa upande wa Palestina wapo wakristu na waIslam lakini Hakuna mkrusto hata mmoja ambaye yupo Hamas.
Kwahiyo unapotoa dondoo jaribu kuangalia na ukweli.
 
Jamaa wanajionea kama miujiza tu
 
Kumbe hizi zilikuwa zinatumiwa tu na hezeb ?

Pager ilikuwa ni kifaa kwa ajili ya Hezbollah tu, maana walikuwa wanakimbia cellular phone kuogopa kudukuliwa.....Wakarudi kutumia Pager za miaka 80/90....Kumbe ni mbaya zaidi.....Hawa Mashia wangepunguza jazba tu na kutumia akili ingewasaidia sana....Kumbuka hata Kamanda Mkuu Fuad Shukr alidanganywa kwa simu, katoka ghorofa ya pili ambayo ilikuwa chini na ngumu kumuua, akapigiwa simu aende ghorafa ya saba...kama zezeta vile kachukua lift kaenda ghorafa ya saba.........alipofika akaenda kukutana na Mola wake.......!
 
Da!!!!! hezbollah wamegeuzwa MAPUTO!!! ,,,where is iran,turkey and others?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…