Uislamu umetoka wapi, nazungumzia Hezbollah, nyie ndiye mnaharibu poss za watu, ukafiri na hii mada vimetokea wapi? jeshi la Hezbollah kuna christians wengi tu, Lebanon 32% ni Christians, 31.9% Sunni, 31.2% Shia, hakuna udini hapa master kama huna hoja kaa kimya.