Hezbolloh hawaongei sana wao ni vitendo tu

green rajab

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2015
Posts
12,387
Reaction score
39,119
Hizibollah hawana muda wa kuimba taarabu kwenye media kama Israel wao jukumu lao ni kuwachoma moto wanamgambo wa Israel pamoja na vifaa vyao na kuhakikisha wanabaki majivu.🔥

⚡️Wreckage of an Israeli Humvee military vehicle after it was hit by Iranian-made Almas-3 special guided missile launched by Hezbollah.

More than 8 Israeli soldiers were wounded or killed.

 
Unazingua sasa mimi nikajua jamaa wameliamsha aisee
Drone ya Hizbollah ililenga chumbani kwa Netanyaho na Mkewe Ilibaki kidogo wamle kichwa

BREAKING: HEZBOLLAH DRONE HITS NETANYAHU’S HOUSE

This is the first time that we see the resistance directly taget senior Israeli leadership.
 

Attachments

  • IMG_20241022_175509.jpg
    219 KB · Views: 5
Kazi ya jeshi ni kulinda mipaka yake ili adui asiingie sasa mpaka inafikia hatua mvamizi inaingia mpaka chumbani anafanya afanyavyo si bora ukubali yaishe kwamba umeshindwa Ili msiharibu nchi yenu
 
Wanakimbiza mwizi kimya kimya kelele anapga yeye mwenyewe kupitia cnn, bbc, na channels kibao
 
Wanakimbiza mwizi kimya kimya kelele anapga yeye mwenyewe kupitia cnn, bbc, na channels kibao
Afu kanza vunja majumba kule Lebanon hakuna hata military target, yote hapo ujuwe kisha zidiwa ndio anakimbilia vunja majumba. Israel wanadhani vita unashinda kwa kupiga majumba, wangejifunza kwa Iran alipiga Military Strategy Point, angetaka kuyavunja majumba ya Tela Aviv angeyamaliza yote. Iran ni wanaume aisay hata US alibaki mdomo wazi vitu vilivyo kuwa na shuka kama mvua.
 

KABISA AISEEEE..... HAWAONGEI. WANALIA TU......


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…