Hezbolloh hawaongei sana wao ni vitendo tu

Hezbolloh hawaongei sana wao ni vitendo tu

Hizibollah hawana muda wa kuimba taarabu kwenye media kama Israel wao jukumu lao ni kuwachoma moto wanamgambo wa Israel pamoja na vifaa vyao na kuhakikisha wanabaki majivu.🔥

⚡️Wreckage of an Israeli Humvee military vehicle after it was hit by Iranian-made Almas-3 special guided missile launched by Hezbollah.

More than 8 Israeli soldiers were wounded or killed.

Hiyo gari imenikumbusha BEAT NGU
 
Telaviv,safed, kiryat,sijui wapi,wanalala kwenye mahandaki kila siku
Tofaut ya magaid na mazayuni kuna mmoja wamanchi wanajificha kwenye mahandaki yeye anapambana na kuna mwingine anajificha kwenye mashimo wananchi wanakufa anawaita Marty's title flan ya ujanja ujanja wa kibwege
 
Tofaut ya magaid na mazayuni kuna mmoja wamanchi wanajificha kwenye mahandaki yeye anapambana na kuna mwingine anajificha kwenye mashimo wananchi wanakufa anawaita Marty's title flan ya ujanja ujanja wa kibwege
Kujificha kwenye mahandaki kutwa mara tatu sasa hivi
 

Attachments

  • Screenshot_2024-10-22-23-00-53-696.jpg
    Screenshot_2024-10-22-23-00-53-696.jpg
    403.7 KB · Views: 2
Afu kanza vunja majumba kule Lebanon hakuna hata military target, yote hapo ujuwe kisha zidiwa ndio anakimbilia vunja majumba. Israel wanadhani vita unashinda kwa kupiga majumba, wangejifunza kwa Iran alipiga Military Strategy Point, angetaka kuyavunja majumba ya Tela Aviv angeyamaliza yote. Iran ni wanaume aisay hata US alibaki mdomo wazi vitu vilivyo kuwa na shuka kama mvua.

Hata Nasrallah ilikuwa ni majumba tu. Israeli wamefuta Viongozi wote wa Hizbollah, Tena kwenye bunker. Ngoja tuone
 
Ila Kama ni kichapo Israel kawachapa. Kama kule Gaza watu wameshachoka, ipo siku wataigeuka Hamas.
 
Back
Top Bottom