Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
Kiongozi wào ni nani?Qmmmk hawa ndiyo Hezbollah hawana muda wa kusikiliza ngonjera za Mazayuni wao ni moto tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiongozi wào ni nani?Qmmmk hawa ndiyo Hezbollah hawana muda wa kusikiliza ngonjera za Mazayuni wao ni moto tu.
Hiyo gari imenikumbusha BEAT NGUHizibollah hawana muda wa kuimba taarabu kwenye media kama Israel wao jukumu lao ni kuwachoma moto wanamgambo wa Israel pamoja na vifaa vyao na kuhakikisha wanabaki majivu.🔥
⚡️Wreckage of an Israeli Humvee military vehicle after it was hit by Iranian-made Almas-3 special guided missile launched by Hezbollah.
More than 8 Israeli soldiers were wounded or killed.
Tunasubiri Israel watueleze ameliwa kichwa nyau au mke wake au mwanae lakini fununu nasikia nyau kaliwa kichwa.Wewe umeamua vipi kwani kafa au yupo hai au mmemjeruhi?
THAAD imesaidia nini leo Yemen kapeleka vitu Tela Aviv sa hivi Israel Radar zao zote hazioni drone ya Hezbullah kipigo si cha kawaida anapokea Israel we baki unakula matobolwa kwa chai ya rangi. Hio THAAD ni mapambo tu ya mayai 😄Ninyi watu kwa kujidanganya 😁
Tofaut ya magaid na mazayuni kuna mmoja wamanchi wanajificha kwenye mahandaki yeye anapambana na kuna mwingine anajificha kwenye mashimo wananchi wanakufa anawaita Marty's title flan ya ujanja ujanja wa kibwegeTelaviv,safed, kiryat,sijui wapi,wanalala kwenye mahandaki kila siku
Kujificha kwenye mahandaki kutwa mara tatu sasa hiviTofaut ya magaid na mazayuni kuna mmoja wamanchi wanajificha kwenye mahandaki yeye anapambana na kuna mwingine anajificha kwenye mashimo wananchi wanakufa anawaita Marty's title flan ya ujanja ujanja wa kibwege
Kama dozi ya UTI na mchaka mchaka huu ni mwakaKujificha kwenye mahandaki kutwa mara tatu sasa hivi
Kwamba umetwa harafu siraha wanakuachia ukae nayo kama mabumundaHapa wamewateka wanamgambo Israel kwa supu🍲
Masikini huyu mama hajui hata Video game.. hebu kawaineshe watoto wako wakucheke.. Mkubwa nguo yake ikipasuka huchutama..
Inaitwa Islam:Hii game inaitwaje . Vipi play store ipo?
⚡️Hebrew Media: Deputy commander of a battalion in the reserve forces Rabbi Aviram Hariv, 43 years old was eliminated by Hezbollah in southern Lebanon.
Afu kanza vunja majumba kule Lebanon hakuna hata military target, yote hapo ujuwe kisha zidiwa ndio anakimbilia vunja majumba. Israel wanadhani vita unashinda kwa kupiga majumba, wangejifunza kwa Iran alipiga Military Strategy Point, angetaka kuyavunja majumba ya Tela Aviv angeyamaliza yote. Iran ni wanaume aisay hata US alibaki mdomo wazi vitu vilivyo kuwa na shuka kama mvua.
ni gemu ndiyoHii mbona imekaa kama game kabisa.!??