Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Kama ulisahau kuna mtu alifanya miujiza siku ya derby Simba na Yanga na hakushangaa hata kilichotokea
Mnaongelea marefa leo hii enzihizo watu walimalizana na wachezaji mapema. Mpira ulipigwaa mh akacchukua mpira akarudisha nyuma anataka kupiga chenga dah wakamalizana nae
Jukwaaa linachekaa tu
Derby oyreeee
Mnaongelea marefa leo hii enzihizo watu walimalizana na wachezaji mapema. Mpira ulipigwaa mh akacchukua mpira akarudisha nyuma anataka kupiga chenga dah wakamalizana nae
Jukwaaa linachekaa tu
Derby oyreeee