Hi

Hi

Kwa kuwa umekuja na nembo ya Kamanda karibu Sana tutete maslahi ya taifa
 
Kajitambulishie MMU kule na pic yako... Unaeza ukatimiza kusudio lako,,,
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] huyu jamaa kanichekesha sana kwa kuweka picha kama utambulisho ila vizuri pia
Karibu
Ila mkuu uvumilie tu maana kwenye hiyo picha kuna watu wanaona mpaka visivyo onekana

Badala ya kuangalia picha wataangalia paa lisilowekwa ceiling board ,

Ndio changamoto zenyewe
 
Makonda keshakataa hizi tabia sasa wew umeamua kuja humu na hii biashara sijui kama utawapata wateja
 
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] huyu jamaa kanichekesha sana kwa kuweka picha kama utambulisho ila vizuri pia
Karibu
Ila mkuu uvumilie tu maana kwenye hiyo picha kuna watu wanaona mpaka visivyo onekana

Badala ya kuangalia picha wataangalia paa lisilowekwa ceiling board ,

Ndio changamoto zenyewe
Umeona sasaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom