Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Angekuwa Msukuma mngesema. Huyu si Mchaga kabisa huyu? [emoji23][emoji23][emoji23]
Hahahaha Ila nikweli mkuu anashape ya kichagga, huwenda ni mchagga kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Angekuwa Msukuma mngesema. Huyu si Mchaga kabisa huyu? [emoji23][emoji23][emoji23]
We ni Ke au Me?Me ni mgeni naomben mnipokee[emoji124] [emoji124] View attachment 396138
Tetehete!! Wacha tuone kali ya mwaka
Imran Mushi. Na picha juu. Lazima Mchaga huyu. Na probably ni kamanda!Hahahaha Ila nikweli mkuu anashape ya kichagga, huwenda ni mchagga kweli
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] huyu jamaa kanichekesha sana kwa kuweka picha kama utambulisho ila vizuri piaKajitambulishie MMU kule na pic yako... Unaeza ukatimiza kusudio lako,,,
Huyu tayari keshaharibu id washakariri... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]Hahahaha
Beautiful tena [emoji38][emoji38][emoji38][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]Beautyful lkn akawa si great thinker
Ulishamuona wapi kwingineko? Mwaga ubuyu!Mkuu kumbe upo hadi huku, dah!
Umeona sasaaaaaa[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] huyu jamaa kanichekesha sana kwa kuweka picha kama utambulisho ila vizuri pia
Karibu
Ila mkuu uvumilie tu maana kwenye hiyo picha kuna watu wanaona mpaka visivyo onekana
Badala ya kuangalia picha wataangalia paa lisilowekwa ceiling board ,
Ndio changamoto zenyewe
Yaani amepoteza uhuru wake bila kujua.Huyu tayari keshaharibu id washakariri... [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
Chamsingi ablock account aingie upya maake hapa washamjua kuanzia sebuleni mpaka uvunguni washasoma na kukagua uwepo wa gypsum na madikodiko kibao..!!!Yaani amepoteza uhuru wake bila kujua.
Ukimuuliza vyema utakuta aliishi Mwanza au maeneo kama hayo[emoji1] [emoji12] [emoji13] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Angekuwa Msukuma mngesema. Huyu si Mchaga kabisa huyu? [emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji125] [emoji125] [emoji125] ona sasa alikuwa anadhani hii ni badooDah ila mijaNaume mingine ya kichagga aise inasura ya kike kabisa,akivaa skentait na kiblauzi aaa utambeep tu.
Kwani hiyo picha unaona nini mkuu [emoji38][emoji38][emoji38]Mkuu sasa hajitambulishi ni wa jinsia ipi, hilo ndio tatizo! Hayupo kwenye Hans wala Beaty..tunashindwa kuamini