IMRANMUSHI
Member
- Sep 8, 2016
- 42
- 14
- Thread starter
- #61
Nashukuru sana kwa wote mlionitolea maneno mabaya ambayo cjaridhishwa nayo labda2 niwajb kwamba kwann mcnge niambia2 nimekosea kulikoni kunipa maneno km hayo? Me huwa Nina heshima situkanan na mtu ila2 naomba km unahic umetoa neno lolote ambalo co zuri nitake radhi nitakusamehe
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app