Hichi chakula ni kitamu sana aisee

Surya

JF-Expert Member
Joined
Jun 7, 2015
Posts
8,774
Reaction score
13,566
Yani kanipikia chakula kitamu hivi kinoma ili kunionyeshea tu, anamakusudi sana huyu dada na anajua kabisa niko single.

Yaani na kanipakulia kiasi sawa na njaa yangu kabisa nikamaliza nimeshiba vizuri navyopenda 😏😏
 
Natamani hata vyuo vifunguliwe kesho mrudi mlikotoka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…