Hichi ndicho kilichoandikwa na vyombo vya habari vya Swaziland Baada ya Kipigo

Congo hakuna limiti ya Club kusajili, wechezaji wa kigeni, je kiwango chao kwenye timu ya Taifa, kikoje.
Congo DR ni 4x zaidi ya Tanzania last time nakumbuka wamefika Quarter Final AFCON na ranking ya Coca-Cola FIFA walikuwa 84
 
Karibu sokani bibi mkongwe
 
Congo hakuna limiti ya Club kusajili, wechezaji wa kigeni, je kiwango chao kwenye timu ya Taifa, kikoje.
Huyo hajui mpira, hii stars enzi za JK ilikula bata sana lakini hakuwa tofauti na ile timu ya bakuli kwenye club bingwa na shirikisho
 
Reactions: Tui
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…