Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo MRI Nimepiga hospital kubwa sana hapa Tz kuliko zote mkuu majibu niliambiwa hawajaona tatizo wakati mimi naumwa ila mungu anasaidia najikuta kesho nimetoboa tuNenda hospitali kubwa usilete mchezo na mwili haunaga spare
Angalia isije ikawa tumor...Hata kama ni benign inabidi iondolewe hasa ukizingatia kuwa una maumivu...Hiyo MRI Nimepiga hospital kubwa sana hapa Tz kuliko zote mkuu majibu niliambiwa hawajaona tatizo wakati mimi naumwa ila mungu anasaidia najikuta kesho nimetoboa tu
Kama huna Ujuzi, haina haja ya kumwambia ana uvimbe.sina
sina,,,ma,,,ujuzi,,,mkuuu...ila,,ni,,,,kama,,uvimbe,,kwa,,,maana,,mwili,,ama,,ct,,scan,,za,,kawaida,,hazitakiwi,,,kuwa,,na,,hicho,,kidude,,ni,,kama,,,uvimbe,,na,,ndio,,maana,,ume,,jitokeza,,fanya,,wakutolee,,,,kama,,,kuna,,uwezekano,,mkuuu,,ila,,ndio,,,ubinadamu,,mkuuu,,,be,,strong,,,jikaze,,kiume,,halafu,,pambana,,,haswa,,,bila,,kushindwa,,,au,,kukata,,,tamaaa...j
Ahsante sana mkuu nashukuru kwa kujali tokea kwenye PM yako mkuu ubarikiwe nawe piaAngalia isije ikawa tumor...Hata kama ni benign inabidi iondolewe hasa ukizingatia kuwa una maumivu...
Onana na oncologist naye usikie maoni yake japo siamini kama hospitali kubwa daktari amekuacha tu hivi hivi bila kukuambia hicho ni nini kama siyo moyo....
Pole sana mkuu. Naamini Mungu Atakuponya [emoji1545][emoji1545][emoji1545]
Ahsante sana mkuu kwa mchango wako mkuu ubarikiwesina
sina,,,ma,,,ujuzi,,,mkuuu...ila,,ni,,,,kama,,uvimbe,,kwa,,,maana,,mwili,,ama,,ct,,scan,,za,,kawaida,,hazitakiwi,,,kuwa,,na,,hicho,,kidude,,ni,,kama,,,uvimbe,,na,,ndio,,maana,,ume,,jitokeza,,fanya,,wakutolee,,,,kama,,,kuna,,uwezekano,,mkuuu,,ila,,ndio,,,ubinadamu,,mkuuu,,,be,,strong,,,jikaze,,kiume,,halafu,,pambana,,,haswa,,,bila,,kushindwa,,,au,,kukata,,,tamaaa...j
Ahsante mkuu kwa ushauri wakoNenda hospitali kaka, humu utakutana na bush doctors wakuambie ni ujauzito. Utaishia kuchanganyikiwa bure!
pole kwa kuharibikiwa space bar mkuusina
sina,,,ma,,,ujuzi,,,mkuuu...ila,,ni,,,,kama,,uvimbe,,kwa,,,maana,,mwili,,ama,,ct,,scan,,za,,kawaida,,hazitakiwi,,,kuwa,,na,,hicho,,kidude,,ni,,kama,,,uvimbe,,na,,ndio,,maana,,ume,,jitokeza,,fanya,,wakutolee,,,,kama,,,kuna,,uwezekano,,mkuuu,,ila,,ndio,,,ubinadamu,,mkuuu,,,be,,strong,,,jikaze,,kiume,,halafu,,pambana,,,haswa,,,bila,,kushindwa,,,au,,kukata,,,tamaaa...j
pole kwa kuharibikiwa space bar mkuu
Unataka upate ushauri zaidi!!Do you mean what friend?