Mambo ya msingi yanayoweza kusababisha cancer mwilini:
Kwanza kabisa inabidi watu wafahamu kwamba,kila mtu mwili wake unajiponya cancer kila siku katika maisha yake,yaani namaanisha kwamba kila mtu hupata cancer kila siku lakini mwili wake hujiponya kila siku.Hii inatokana na uimara wa kinga ya mtu.
Hivyo basi,ukiona mtu amepata cancer inabidi ufahamu kwanza kabisa kwamba kinga ya mtu huyo ina matatizo,halafu pili ndio unatakiwa kuanza kudadisi mambo yaliyoingia ndani ya mwili wake ambayo kinga yake imeshindwa kuyazuia na hatimaye kumsababishia cancer.
Hivyo basi,mpaka hapo tunaweza kutenga sababu zinazosababisha cancer kwenye makundi mawili ili kurahisisha kuelewa vizuri.Kwanza ni kinga ya ndani ya mwili,na pili ni sababu zitokazo nje ya mwili ambazo huingia ndani ya mwili na kushindwa kuzuiwa na kinga ya mwili na hatimaye kusababisha cancer.
1.Kinga ya mwili:
Mwili unapopata cancer hujiponya wenyewe kwa kutumia kimengenyo cha protini kinachotolewa na kongosho/pancreas kiitwacho trypsin kikishirikiana na chembe nyeupe za damu kufanya kazi hiyo.Chembe nyeupe za damu hazina uwezo zenyewe kushambulia chembe za cancer kwa kuwa zenyewe ni chaji hasi(-ve) pia chembe za cancer ni chaji hasi(-ve) hivyo hukwepana,sasa basi, kazi ya kimeng'enyo cha trypsin ni kumeng'enya ukuta wa nje wa chembe za cancer ambao ni wa protini na una chaji hasi(-ve) na baada ya chembe za cancer kumengenywa huwa zinaachwa uchi na kushambuliwa kwa urahisi na chembe nyeupe za damu.Hivi ndivyo mwili unavyojiponya cancer kila siku.
Kwa watu ambao kongosho zao hazifanyi kazi sawasawa na wanaishi maisha hatarishi huweza kupata cancer kwa urahisi sana.
2.Sababu zitokazo nje ya mwili:
Pamoja na kinga ya mwili kufanya kazi kama nilivyoeleza hapo juu,lakini pia si njia pekee ya kuzuia cancer,hii ni kwa sababu kuna mambo mengi mwilini ambayo yanatakiwa yawe kwenye mlinganyo unaotakiwa kiasilia ili mwili wote uweze kufanya kazi kwa kutegemeana.
Mambo haya ni kama vile;
i/. Kiwango cha tindikali/nyongo(alkali) kwenye damu(blood alkalinity level) ambayo inatakiwa iwe 7.365,
ii/. Mwili unatakiwa uwe na kiwango thabiti cha methly group/HCL tumboni,yaani kiwango kizuri cha tindikali ya HCL kwenye tumbo.Methyl groups husaidia kushikilia maji kwenye utumbo nk,inabidi watu wafahamu kwamba zaidi ya 90% ya afya ya mwili huanzia kwenye utumbo,
iii/. Mwili unatakiwa uwe na vitamini zote muhimu,
iv/. Mwili unatakiwa uwe na madini yote muhimu,
na mambo mengine machache.
Hutakiwi kuogopa kwa kuona kwamba unatakiwa ufanye mambo mengi sana,la hasha,bali mambo yote hayo unaweza kuyakamilisha kwa kufanya vitu vichache sana.
Sasa basi mwili unaweza kuwa na mapungufu katika mambo hayo i-iv kutokana na utaratibu mbovu wa maisha na hasa ule wa kula vitu visivyofaa.Ukila vyakula BORA vya ASILI kwenye mlinganyo unaotakiwa,mwili wako utaondokana na mapungufu ya vitu hivyo nilivyovitaja.
Ulaji wa vyakula vya viwandani/processed foods/enriched foods kama vile white sugar,white flour/sembe,white rice,white salt/chumvi ile ya unga,cornfalkes,KFC foods,vinywaji kama vile soda na juisi zilizosindikwa.Pia ulaji wa mara kwa mara wa vyakula kama vile nyama nyekundu,vyakula visivyooshwa vizuri kutoa sumu za mashambani(pesticides) na pombe kali/zisizo na viwango mara kwa mara,madawa ya hospitali mara kwa mara na mambo mengine kama hayo yanayokiuka asili ya mwanadamu yanaweza kutoa mchango mkubwa sana kusababisha cancer.
Ulaji wa vitu hivyo unaweza kukufanya uwe na tindikali nyingi kwenye damu kitu ambacho ni hatari sana.Uwiano mzuri wa tindikali/nyongo kwenye damu ndio kitu cha msingi sana kukiangalia,wagonjwa wote wa cancer ukiwapima damu zao utaona kwamba damu zao zina tindikali nyingi kuliko kiwango cha kawaida.Hivyo basi,ukiwa na tindikali nyigi kuliko kawaida kwenye damu utapoteza madini mengi muhimu kama vile calcium,magnesium na madini mengine muhimu madogo madogo ambayo yote hayo yana umuhimu mkubwa wa kupigana na cancer,pia ini haliwezi kufanya kazi yake vizuri katika hali ya tindikali nyingi,hali hii pia huweza kuathiri kongosho kushindwa kufanya kazi yake ipasavyo.Hivyo ulaji huu mbovu utakufanya uangukie kwenye matatizo namba i hadi namba iv hapo juu.
Hivyo basi,kama una cancer,huwezi kupona daima kama damu yako ina tindikali.Ili upone kwanza rekebisha kiwango cha tindikali/nyongo(alkali) kwenye damu halafu ndio uendelee na mambo mengine muhimu.
Sasa basi,ili uwe na afya njema na upone cancer kama unayo,inabidi mwili wako uupe virutubisho vyote muhimu ili kuipa nguvu kinga ifanye kazi kwa urahisi.Virutubisho hivi utavipata kwa kula vyakula vya asili vya aina mbalimbali ambavyo vina kazi tofauti mwilini;
1.Ule vyakula vyenye uwezo wa kufanya damu yako iwe na kiwango kizuri cha alkali;
Baadhi ya vyakula hivyo ni juisi ya mboga mbichi za majani kama vile spinach,celery,matembele,broccoli,juisi ya maji ya limao/ndimu nk.
2.Ule vyakula vyenye uwezo wa kuondoa sumu mwilini;
Baadhi ya vyakula hivyo ni tumeric/bizari mbichi,tangawizi,parachichi na mbegu yake,juisi ya maji ya limao/ndimu,juisi ya ubuyu/ukwaju,black seed oil/mafuta ya habbat sauda,kitunguu saumu,juisi ya apple/tufaa,aloevera/shubiri nk.
3.Ule vyakula vyenye uwezo wa kutibu tatizo husika,ambapo kwa maana hii tunazungumzia cancer;
Baadhi ya vyakula hivyo ni mbegu za apricot,mbegu za peach,mbegu za almond,mtama,ulezi,mbegu za maboga,ufuta,juisi/mafuta ya jani kibichi ya bangi,backing soda,juisi ya karoti,juisi ya stafeli nk.
MUHIMU:
1.Huwezi kupona cancer kama damu yako ni acidic,yaani ina tindikali.Inabidi damu iwe alkaline/nyongo kwa kiwango kinachotakiwa ndio uweze kupona.
2.Huwezi kupona cancer kama mwili/damu yako ina sumu.Inabidi uondoe sumu ndio uweze kupona.
3.Ukifanya namba 1 na namba 2 hapo juu ndio hatua namba 3 itafanikiwa kwa urahisi sana.Hapa kwenye hatua hii ni kula vyakula vyenye uwezo wa kuua moja kwa moja chembe hai za cancer.Chembe hizi zikifa hazirudi tena kwa kuwa tayari damu iko safi na mwili/damu haina sumu tena hivyo madini muhimu hayawezi kupotea mwilini.
Hii ndio sayansi ya cancer kwa lugha ya ki laymen/rahisi kabisa.
Baadaye nitaenda specific kwenye tiba mojawapo niliyoizoea na kuwapa specifications zake jinsi ya kumtibu mgonjwa ambaye tayari ana cancer na mmepoteza matumaini kabisa.