Hidden cancer cures

mkuu Deception naomba unipe ufafanuzi juu ya matumizi ya hiyo black seed oil(mafuta ya habbat sauda) kama tiba ya saratani
Nilikuwa namaanisha niitumie vipi ili iwe tiba?

Nilitaja baadhi tu ya vyakula/vitu vinavyotibu cancer,lakini ili ujue utatibu vipi cancer inabidi kwanza ujue cancer ni nini na mambo gani yanayoweza kumsababishia mtu cancer mwilini na kwa vipi.

Nisingependa kukujibu moja kwa moja kwa kuwa masuala ya afya si ya kuchukulia kirahisi rahisi,inatakiwa nikupe jibu la uhakika kwa kuwa wanaosoma maelezo haya ni wengi na wengi hudiriki hata kuyatumia moja kwa moja ili kutibu maradhi yao.

Ninakushauri ufuatilie uzi wote huu kwa makini sana na utakapomaliza najua lazima utakuwa umeshajua cancer ni nini na mtu anapataje cancer na inatibika vipi.Utapata tiba nyingi zaidi ya hiyo unayouliza.Tiba hizi si za kufikirika,zimefanyiwa utafiti na zimeshatibu watu wengi na zinaendelea kufanya hivyo.Cha msingi ni wewe kusoma na kudadisi tu,elimu hii ni ya bure kabisa utalipia muda wako tu wa kusoma.Ni vigumu sana kupata watu kama sisi tunaotoa elimu kama hizi bure.Watu wengi wanafanya elimu hizi kama mitaji.

Kazi kwako sasa.Niko tayari kukujibu endapo utakuwa na maswali pale ambapo hujaelewa.

Karibu.
 
mkuu Deception uzi nimeufuatilia vizuri kuanza mwanzo mpaka hapa na nimeuelewa sana niliuliza hivyo kwa sababu ili kama utaikosa hiyo vitamin B17 na hayo mafuta ya bangi kipi utumie mbadala wake kwa sababu hizo ampricot sio kote zinapatikana,na katika ile thread nimeona black seed oil ndomana nikauliza
Ahsante mkuu
 
Last edited by a moderator:
mkuu Deception kama nitakuwa nimekosea utanirekebisha
Saratani ni hali ambapo kunakuwa na ukuaji usio wa kawaida wa seli ambazo sio za kawaida katika mwili mwa binadamu,na ukuaji wa hizo seli huanza kushambulia baadhi ya tishu kama vile ini,damu,figo na nyenginezo.Sababu kuu ya kansa katika mwili ni upungufu p wa kinga pamoja na external toxic zinazoingia mwilini,mwili ukiwa na kiwango kikubwa cha asidi na sumu husababisha seli kufa na baadhi kubadilika(mutate) na kuwa seli za kansa,hivyo ili kuponya kansa ni lazima uweke sawa alkaline katika damu na uondoe sumu zote,
baada ya kufanya hayo mambo kinachofuata ni kula vyakula ambavyo ni anti cancerous cells kama amygdalin(vitamin b17),hemp oil-ili kuuwa kansa cells huwezi kuponya kansa kama damu yako ni chafu kwa maana ina asidi na sumu nyingi.hivyo ni vyema ukaondoa sumu kwanza huku ukiendelea kuchukua hzo anti cancerous cells kupunguza ukuaji wa hzo seli za kansa na hatimaye kuziuwa kabisa
Mkuu Deception mpka hapo nipo sawa na wewe au umeniacha njia panda?
 
Last edited by a moderator:

Naomba nikujibu kuwa uko sawa in a way but si vitamin B17 pekee unayo hitaji! Kuna matumizi ya warm lemon water and a lot of other things kama blackstrap molases, wheat grass juice na kadhalika ili kutibu cancer but so far uko sawa kiasi
 
Last edited by a moderator:
Naomba nikujibu kuwa uko sawa in a way but si vitamin B17 pekee unayo hitaji! Kuna matumizi ya warm lemon water and a lot of other things kama blackstrap molases, wheat grass juice na kadhalika ili kutibu cancer but so far uko sawa kiasi

mkuu napoteza nashukuru kwa kujibu swali.
 
Last edited by a moderator:
Deception kwa huu Uzi
Nimekuelewa zaidi ya ulivyo tarajia.
 
Sorry nilichelewa ila lazima niseme.
Hii imekaa vizuri sana.
 
Hao jamaa wanatengeneza hizo dawa mbili, Vidatox na Cimavax, hata kabla ya kuwa na uhusianao mzuri na USA, sasa hivi hata USA wenyewe ndiyo wanazinyemelea na baadaye zikiingia mkononi mwao basi itakuwa bei zake hazishikiki, maana wao wanataka kufanya hiyo iwe biashara lakini wenzao wa cuba wanaziuza kwa bei ya chini ili kuwasaidia binaadamu. ONYO! kuna makampuni mengi tu ya eastern europe na china na India wanadai wao wamepewa kibali cha kutengeneza dawa hizo, akili kichwani mwako, hizo zinatoka cuba tu. mkizihitaji ni pm niwape mchongo wa wapi unaweza kuzipata.
 


Poleni sana Mkuu napoteza. I hope now mzee anaendelea vyema.

-Kaveli-
 
mkuu hizi dawa bado zipo
 
mkuu hizi dawa bado zipo
Hizo dawa zipo mkuu, kwa sasa zipo kama vichupa 2 vya vidatox ambavyo vina xpire mwakani.Ila uelewe kitu kimoja, dawa hizi hazitibu kensa ambayo imechafikia stage ya mwisho, huwa zinasaidia sana wakati maradhi yanaanza na kufanya zisinyae na siziendelee kutapakaa. Sasa sisi huwa tunakosea na tunakuwa desperate pale tunapoambiwa mtu wetu ana maradhi hayo, ambayo kwa kweli ni mabaya, bila ya kujua ni stage gani anayo, nina maana wakati mwingine huwa tunapoteza fedha bila sababu.Ni ushauri wangu huo tu mkuu. Ila dawa hizo zipo.
 
Sasa Mkuu Deception, Bob Marley alikuwa ni mvutaji mkuu wa bangi, mbona alikufa kwa cancer?
ina maana bangi haikuweza kumsaidia?
Haya matunda yanapatikana sana kule Mbeya kwa wingi, kumbe apricot ni hizi, ni jamii ya mapera Mungu ashukuriwe ni vitu ambavyo vipo karibu sema hatujui matumizi yake!
 
Sasa Mkuu Deception, Bob Marley alikuwa ni mvutaji mkuu wa bangi, mbona alikufa kwa cancer?
ina maana bangi haikuweza kumsaidia?

umeshasema alikuwa mvutaji wa bangi,mimi sizungumzii kuvuta bali nazungumzia kula,tena si kula tu kwa jinsi yoyote atakavyo mtu,bali kula/kunywa chlorophyll ya bangi.Chlorophyll ya bangi ikiingia kwenye damu ndio inakuwa dawa,sasa ukivuta bangi haiwezi kuingia kwenye damu yako,na pia moshi sio chlorophyll,simple and clear.

Halafu pia,masuala kama haya ya kuwatumia watu maarufu ku justify kwamba cancer haina tiba ni hoja za baadhi ya watu ambao wengi wao hawana uelewa wa kutosha kuhusu masuala haya.Wewe umemtumia Bob Marley,lakini wapo waliomtumia Steve Jobs,lakini wote hawa wana sababu zinazofahamika kwanini walikufa kwa cancer,lakini watu wengi hawajui kwa undani kuhusu vifo vya watu hawa wawili.

Labda nikupe homework moja kuhusu Bob.Fuatilia utafahamu kwamba kifo cha Bob kilihusishwa na ugomvi wake na CIA...CIA ndio walihusika....sasa fuatilia mwenyewe vizuri.
 
Nakushukuru mkuu hapo sasa nimekuelewa, kumbe uzuri wa bangi sio kuivuta kama sigara bali ni kuitumia ikiwa natural kama mboga, ahsante umenipa pia homework.
 
ukiweza utuwekee hata picha kama unayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…