Hidden cancer cures

Habar mkuu. Nmepitia uzi wako kuhusu kisukari nilikuwa naombi au pendekezo kama utaweza kuweka info zote humu JF ili tuweza faidika wote itakuwa nzuri sana. Mungu akubariki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
deception uko sahh kaka hata mm nlishasikia kwamba cancer is not a disease but ni lack of vitamins especially B17
 
Ukitumia kila siku kwa mwezi Mzima juice ya vitunguu saumu, tangawizi na water lemon Matokeo yake ni makubwa kiasi gani kwa tiba? Deception
 
Thastgood
 
Ukitumia kila siku kwa mwezi Mzima juice ya vitunguu saumu, tangawizi na water lemon Matokeo yake ni makubwa kiasi gani kwa tiba? Deception
Mimi leo nilikuwa na mafua na kifua nimetumia Vitunguu saumu 2 nikachanganya na maji ya moto na asali kijiko 1 kikubwa na tangawizi ya unga kijiko 1 kidogo na kipande cha limao nilkakoroga na kunywa sijambo nina mshukuru Mungu.
 

Mkuu hapo kwenye maandishi mekundu nisaidie dawa za asili zinazoweza kumaliza hilo tatizo sababu Uric Acid imekuwa tatizo kwangu kwa muda mrefu

Sent from my SM-G903F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…