High Court temporarily suspends all flights from China amid Corona Virus. Uhuru issues Executive Order on coronavirus, sets up taskforce

High Court temporarily suspends all flights from China amid Corona Virus. Uhuru issues Executive Order on coronavirus, sets up taskforce

Mungu atuepushie mbali hili balaa la CORONA, virusi hivi kwa sasa vinasambaa kwa kasi sana tumesikia huko Italy umeua na baadhi ya nchi za Arabuni.Kuna tetesi kuna Wachina walioathirika na virusi vya corona wameingia nchi jirani ya Kenya na msako wa kuwatafuta unaendelea,wakati Kenya wakiendelea na msako huko Nigeria nako kuna taarifa zinasema virusi hivyo vimetua huko. Kwa hakika ni janga la Kimataifa nini kifanyike?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu atuepushie mbali hili balaa la CORONA, virusi hivi kwa sasa vinasambaa kwa kasi sana tumesikia huko Italy umeua na baadhi ya nchi za Arabuni.Kuna tetesi kuna Wachina walioathirika na virusi vya corona wameingia nchi jirani ya Kenya na msako wa kuwatafuta unaendelea,wakati Kenya wakiendelea na msako huko Nigeria nako kuna taarifa zinasema virusi hivyo vimetua huko. Kwa hakika ni janga la Kimataifa nini kifanyike?

Sent using Jamii Forums mobile app

Wala usiwe na hofu Boss, kila baada ya miaka kadhaa ni lazima litokee janga litalowafanya watu wapungue lakini pia akili zikae sawa!

Hili letu mkuu, katoe ile akiba tugawane tu!
 
Mungu atuepushie mbali hili balaa la CORONA, virusi hivi kwa sasa vinasambaa kwa kasi sana tumesikia huko Italy umeua na baadhi ya nchi za Arabuni.Kuna tetesi kuna Wachina walioathirika na virusi vya corona wameingia nchi jirani ya Kenya na msako wa kuwatafuta unaendelea,wakati Kenya wakiendelea na msako huko Nigeria nako kuna taarifa zinasema virusi hivyo vimetua huko. Kwa hakika ni janga la Kimataifa nini kifanyike?

Sent using Jamii Forums mobile app
Eti wanawasaka! Wakati wanaingia mlikuwa wapi! Uzembe poor Africa
 
Mbwa wetu wanafurahia watalii kuongezeka kutoka China....... Maombi yangu ni kuona mgonjwa wa kwanza anakua jiwe basi ntafurahi sna snaaaa....
 
Tabasamu la mwisho la kirusi cha korona!
1545596541539.jpeg
 
New cases nyingi kwa sasa zipo South Korea, Italy na Iran, kuwakataza wachina halafu kuruhusu watu kutoka nchi hizo tatu inaonyesha mlivyo wajinga na wabaguzi.

Nigeria, Uarabuni na Ulaya wamepata maambukizi makubwa kutoka nchi hizo tatu, Italy, Iran na South Korea, muda utaongea ila Kenya wanafanya maamuzi kwa hisia badala ya kwa data.
 
New cases nyingi kwa sasa zipo South Korea, Italy na Iran, kuwakataza wachina halafu kuruhusu watu kutoka nchi hizo tatu inaonyesha mlivyo wajinga na wabaguzi.

Nigeria, Uarabuni na Ulaya wamepata maambukizi makubwa kutoka nchi hizo tatu, Italy, Iran na South Korea, muda utaongea ila Kenya wanafanya maamuzi kwa hisia badala ya kwa data.

Unaonyesha ulivyo mjinga kwa kujibu kihisia bila kuzingatia data, China ina confirmed cases zaidi ya 74,578, ndio taifa pekee dunia yenye mikoa iliyowekwa kwenye quarantine, mataifa yote duniani sasa hivi kila anayeingia kwenye nchi yoyote kama ametokea Uchina, anawekwa kwenye quarantine, hilo tumeona hata kwa rais wa Mongolia na wapambe wake waliporudi nyumbani.
Nyie tu ndio bado mnapokea Wachina kiholela kisa vihela vyao vya utalii, umaskini ni laana....

 
New cases nyingi kwa sasa zipo South Korea, Italy na Iran, kuwakataza wachina halafu kuruhusu watu kutoka nchi hizo tatu inaonyesha mlivyo wajinga na wabaguzi.

Nigeria, Uarabuni na Ulaya wamepata maambukizi makubwa kutoka nchi hizo tatu, Italy, Iran na South Korea, muda utaongea ila Kenya wanafanya maamuzi kwa hisia badala ya kwa data.
Sasa hao wakorea na waitaliano wamepata hivyo virusi kutoka wapi, kama sio kwa wasafiri wanaotoka China? 😀 Kule Marekani haingii mtu kutoka China isipokuwa raia wa marekani ambao wana jamaa na ndugu zao ndani ya nchi hiyo. Tena quarantine ya siku 14 ni lazima. US bars foreigners coming from China for now over virus fear Leo Trump amewapa ushauri wamarekani wasisafiri kuenda China. Wachina wenyewe hawakubali raia wenzao kutoka mkoa wa Hubei(chimbuko la corona), kuingia kwenye hoteli zao, kwenye teksi zao n.k. ndani ya nchi yao!
 
Ujinga tu na kufwata mkumbo, kama wanashindwa hata tu kuzuia kipindupindu, Malaria au hata nzige tu, wataweza viral pandemic? Kwanza sidhani hata kama Kenya nzima kuna Virologist yoyote wa maana, wao wangejikalia kimya tu kama sisi na kuangalia movie inavyokwenda.
Mkuu sisi TZ tuna yataka majanga wenyewe.
Tanganyika Law Society na Zanzibar Law Society wao wako makini au haraka kwa mabo ya kisiasa tu, inapofika kwenye mambo muhimu kama haya hatuoni umakini na uzalendo wao.
 
Unaonyesha ulivyo mjinga kwa kujibu kihisia bila kuzingatia data, China ina confirmed cases zaidi ya 74,578, ndio taifa pekee dunia yenye mikoa iliyowekwa kwenye quarantine, mataifa yote duniani sasa hivi kila anayeingia kwenye nchi yoyote kama ametokea Uchina, anawekwa kwenye quarantine, hilo tumeona hata kwa rais wa Mongolia na wapambe wake waliporudi nyumbani.
Nyie tu ndio bado mnapokea Wachina kiholela kisa vihela vyao vya utalii, umaskini ni laana....


Kwa hili la TZ kupokea watu kutoka China nimeshangaa umakini wa Mh. Magufuli upo wapi kwa jambo hili?
 
Unaonyesha ulivyo mjinga kwa kujibu kihisia bila kuzingatia data, China ina confirmed cases zaidi ya 74,578, ndio taifa pekee dunia yenye mikoa iliyowekwa kwenye quarantine, mataifa yote duniani sasa hivi kila anayeingia kwenye nchi yoyote kama ametokea Uchina, anawekwa kwenye quarantine, hilo tumeona hata kwa rais wa Mongolia na wapambe wake waliporudi nyumbani.
Nyie tu ndio bado mnapokea Wachina kiholela kisa vihela vyao vya utalii, umaskini ni laana....


Hizo ni cases za zamani, angalia new cases hiyo ndio indicator sahihi ya ugonjwa unasambaa kwa kiasi gani, kwa lugha nyepesi ni ugonjwa umelipuka China ila kwa tayari wameudhibiti ndio maana new cases zimeshuka hadi around 200 kwa sasa wakati South Korea na Italy wanapata case nyingi mpya zaidi ya China kwa sasa.
 
Umakini upi na wakati kodi inatafutwa...kodi ni muhimu sana kuliko maisha yetu ..
Wao wana uwezo wa kuondoka nchini na familia zao kwenda kujificha mahali, jiulize maskin wewe mwingine
Kwa hili la TZ kupokea watu kutoka China nimeshangaa umakini wa Mh. Magufuli upo wapi kwa jambo hili?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kenya wamepanic kama kawaida yao haya mafua ya ndege yanaua mizungu na vichina tu.
 
Umakini upi na wakati kodi inatafutwa...kodi ni muhimu sana kuliko maisha yetu ..
Wao wana uwezo wa kuondoka nchini na familia zao kwenda kujificha mahali, jiulize maskin wewe mwingine

Sent using Jamii Forums mobile app
Watajificha wapi wakati huko duniani kote kume enea COV19?
Marekani kwenyewe washaanza kudondoka na hii kitu hadi Trump katoa hotuba kuwatuliza raia wake.
 
BADO HAPA KWETU PIA WAFUNGIWE WASIJE KWA MUDA.. ILE VIDUDU KWA WATU WENYE HALI KAMA ZETU HIZI TUTABANWA SANA
 
The High Court has temporarily suspended flights from China.

Justice James Makau issued the ruling following a case filed by the Law Society of Kenya.
He said the matter is of great public interest.

In the second file, Justice Makau issued an order preventing Health CS, Transport CS, Foreign Affairs CS, the AG and the Kenya Airport Authority from letting into the country any person from China through the air or sea.

The same orders are also applied to any other WHO-designated hot spot country that is adversely affected by the virus.

The three CSs have also been compelled to trace, account, re-examine, and quarantine in a KDF facility all the 239 passengers that they let into the country aboard a Chinese flight that landed at JKIA on February 26.

Health, Transport, Foreign CS have been ordered to trace 239 passengers who boarded Chinese flight.
On Friday, President Uhuru Kenyatta formed a taskforce to deal with a possible outbreak of coronavirus.

The President through an Executive Order on Friday said the team will coordinate Kenya's preparedness, prevention and response to the threat of the disease.

Uhuru said they will also enhance surveillance at all ports and points of entry to Kenya.

The President also ordered that Mbagathi hospital coronavirus section be completed within seven days.

This was after the ministry of health Chief Administrative Secretary Rashid Aman said they have also identified an open ward with 120 beds at Mbagathi County Hospital in Nairobi but will need a month to prepare it.


Uhuru issues Executive Order on coronavirus, sets up taskforce
President Uhuru Kenyatta has issued an Executive Order following the escalating number of coronavirus cases around the world that also pose a risk to Kenya.

According to him, Kenya is an international transport hub with 70% of passengers in transit.

“There is a significant threat arising from the potential spread of the coronavirus to Kenya from countries that have new and ongoing outbreaks of the pneumatic disease,” his statement reads.

The taskforce is to be comprised of the Health CS and counterparts from Defense, Foreign Affairs, ICT and Transport.

Other members are Principal Secretaries and Directors from different ministries.

They are to coordinate preparedness, prevention and response as well as coordinate capacity building of health workers.

The taskforce will also be expected to ensure enhanced surveillance at all entry points into Kenya and coordinate supply of testing kits, protective gear and other medical equipment.

President Kenyatta further ordered that the national isolation and treatment facility at Mbagathi Hospital be completed and ready to receive patients within 7 days.

He also dissolved the Cabinet’s Adhoc Committee on Health and Inter-Ministerial Technical Committee on Government Response to the coronavirus outbreak.


China Southern Airlines suspends flights to Kenya amidst coronavirus
Two days after resuming flights from China to Kenya, China Southern Airlines has again suspended flights to Nairobi amidst a public outcry over the coronavirus.

The airline, according to a statement from the Chinese Embassy in Kenya has cancelled flights not because of the coronavirus but due to “decreasing volume of passenger flow.”

“Due to the decreasing volume of passenger flow, China Southern Airlines has made necessary adjustments by suspending flights connecting Guangzhou, Changsha and Nairobi until further notice,” read a statement posted on the embassy’s Twitter page.

Kwa kweli nilishangaa sana hawa wanasiasa kumbe hawana huruma na wananchi. We unaruhusu Wachina kisa ati mnatafuta pesa Wakenya wakati mwingine bwana? Nimeipa Heko Mahakama Yenu Mungu awanusuru na hawa wanasiasa Balaa.
Na si mnakesha kwenye mitandao ati mnaisifu siasa za Kenya kuwa ziko kiwango cha juu wakati ni udikteta mtupu.
Mtu anatoa taarifa kwa kuwaokoa wengine halafu anafukuzwa kazi [emoji1552]‍♂️ ni akili hiyo? Serikali yenu ina tofauti na Communist?
 
Back
Top Bottom