Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si useme tu kuwa unapenda kuniona mwanao navyokuwa twiga lolHigh hills zina raha yake kwa kweli, japo mie napenda kumuona mwingine kavaa sio mimi, mie mid-hills ndio napendelea zaidi.
Na huto tumiguu sasa[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji85]Si useme tu kuwa unapenda kuniona mwanao navyokuwa twiga lol
Hahaha ntafanyaje sasa wakati role model wangu ni mbutananga[emoji151] [emoji151] [emoji151] [emoji151]Na huto tumiguu sasa[emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji85] [emoji85]
Hahaha ntafanyaje sasa wakati role model wangu ni mbutananga[emoji151] [emoji151] [emoji151] [emoji151]
Hahahaaaa! Yule mchaga akili zake anaziweza mwenyewe!Hahaha ntafanyaje sasa wakati role model wangu ni mbutananga[emoji151] [emoji151] [emoji151] [emoji151]
Eeeh wewe endelea tu kunicheka mguu wangu wa bia, me sina habari kama role model wanguHahahaaaa! Yule mchaga akili zake anaziweza mwenyewe!
Teh teh teeeeh! Usisahau sticker ya 'leaner' usije tu ukatuletea balaaEeeh wewe endelea tu kunicheka mguu wangu wa bia, me sina habari kama role model wangu
Natembeaga na first aid kit lol[emoji151] [emoji151] [emoji126] [emoji126]Teh teh teeeeh! Usisahau sticker ya 'leaner' usije tu ukatuletea balaa
Heels......High hills zina raha yake kwa kweli, japo mie napenda kumuona mwingine kavaa sio mimi, mie mid-hills ndio napendelea zaidi.
Learner.......🙂Teh teh teeeeh! Usisahau sticker ya 'leaner' usije tu ukatuletea balaa