Ushapigwa 'ban' tena?I don't think Sugu's ex is a confident woman.
I really think she's got a couple screws loose up her head.
Therefore, I wouldn't term what she often does as 'confidence'.
It's more along the lines of mental illness.
Just watch this space and see what she does next!
Ushapigwa 'ban' tena?
Tena ukivaa alafu ukatembea kwenye mawe mawe au rough road ni balaa..unaeza vunjika....ila smooth road/tiles area naonaga inakua bomba sana.....Ila tusemage ukweli.... Ziko very uncomfortable!
we nawe kwanini huwa unadondoka navyo mara nyingi?Basi sawaa!
One thing i love abt her, she is very confidentShe is a terrible woman....
Exactly, that aint confidence at all, yule mwanamke ni kichaa of the sort kwakweliI don't think Sugu's ex is a confident woman.
I really think she's got a couple screws loose up her head.
Therefore, I wouldn't term what she often does as 'confidence'.
It's more along the lines of mental illness.
Just watch this space and see what she does next!
Mie naprefer wedges zaidi, aisee high heels najihisi kama ngongoti[emoji134]Paul ujue tunasemaga "unafanya kitu roho inapenda", before kuangalia watu watajudge vipi unachokifanya. Kupendeza kunaanzia ndani ya mtu binafsi. Nikivaa heels nikaamini nimependeza ndo napata confidence ya kujishaua barabarani hata kama hamtonisifia teh. Ila nikijihisi sijapendeza nakuwa mnyonge, hata kama utaniambia HS umependeza ile mbaya mmh sitoamini wala haitoboost confidence yangu. Salama anaweza akavaa heels kabisa na akatokelezea but Sidhani moyoni mwake kama anawazia heels. Tumemzoea vile kwa sababu ndo ameamua kuwa vile.
Kujijulia mwili ni vizuri of coz, ila kuna watu labda madera tu ndo yanafit shape zao , so unataka wasipige skinny jeans wenzio? Anakufa tu na fashion lol. Ukiwa comfortable na mwili wako unarock chochote na confidence unakuwa nayo, tutakushangaa ile mwanzoni but eventually tutakuzoea tu. Kuna watu wana shape nzuri na wanavaa wanapendeza but hawajaamini. Hata ukimsifia atakuuliza "kweli nimependeza?", haifai. Yes confidence is not everything, but it's the most attractive quality a person can possess. Confidence is Sexy..
Me Ukiona sivai kitu/ nguo fulani, ni kwa sababu tu sipo comfortable nayo, hata Nikivaa sitofeel kama nimependeza na automatically sitokuwa na confidence ya kujishebedua. Umenichekesha na J's zako teh, em tupia siku moja nikuone. Me nina tatizo na wedges yani mmmh no way
Hahaha navyopenda ungongoti ndugu yako wakati ninao tu wa kutosha naturally Koh Koh Koh. Yani wedges hata kujaribisha sijawahi kabisa, napenda tu kuona mtu mwingine avae sio mimi.Mie naprefer wedges zaidi, aisee high heels najihisi kama ngongoti[emoji134]
Toto la kinyaki tena[emoji12] [emoji12] [emoji12] msalimie sana baba yako, mwambie huyu mcheza mpira soon namleta tusaidiane maana sio kwa mateke haya[emoji134]Hahaha navyopenda ungongoti ndugu yako wakati ninao tu wa kutosha naturally Koh Koh Koh. Yani wedges hata kujaribisha sijawahi kabisa, napenda tu kuona mtu mwingine avae sio mimi.
Haha na sura + shape ya mjomba, ukiongezea na mguu wangu kama muwa wa mtibwa teh tehToto la kinyaki tena[emoji12] [emoji12] [emoji12] msalimie sana baba yako, mwambie huyu mcheza mpira soon namleta tusaidiane maana sio kwa mateke haya[emoji134]
Mie naprefer wedges zaidi, aisee high heels najihisi kama ngongoti[emoji134]
Lakini nanihii si ipo? Yaani zile tv zetu za Phillips....si Samsung plasmaHaha na sura + shape ya mjomba, ukiongezea na mguu wangu kama muwa wa mtibwa teh teh
Teh dogo nahisi kafata matege ya sista ake, ntamkataza asicheze football sitaki vigimbi
Zipo very comfortable, but sielewi kwa nini moyo wangu Umegoma na wedges kabisaHalafu wedges naona kama ziko more comfortable kuliko heels nyingine, sijui ni mimi tu.
Heaven Sent akijaribu atavipenda.
Yeah, ziko confortable sana, hata kutembelea huchokiHalafu wedges naona kama ziko more comfortable kuliko heels nyingine, sijui ni mimi tu.
Heaven Sent akijaribu atavipenda.
Teh teh teeeeh!! Ila ulishasema confidence inakulinda so no problem.Haha na sura + shape ya mjomba, ukiongezea na mguu wangu kama muwa wa mtibwa teh teh
Teh dogo nahisi kafata matege ya sista ake, ntamkataza asicheze football sitaki vigimbi
Ashasema shape kama ya mjomba wake, unategemea sony wega atoke wapi? Au una utani na mjomba wake?Lakini nanihii si ipo? Yaani zile tv zetu za Phillips....si Samsung plasma
Aah role model mbutananga tehTeh teh teeeeh!! Ila ulishasema confidence inakulinda so no problem.