Digital marketingNi skill ipi yenye kipato kirefu naweza kujifunza ndani miezi sita nikajifunza na kuanza kufanyia kazi kwa miaka ya hii ya sasa.
Naomba iwe ni progressive skill yaani ikifika 2030 niwe niwe proffesion kwa sababu nitakuwa nimeimaster kwa kiasi kikubwa. Natanguliza shukrani wakuu.
Video editing short form and long form content
Digital marketing
Kajifunze hukoHii ipoje mkuu
Artificial intelligence labda.Ni skill ipi yenye kipato kirefu naweza kujifunza ndani miezi sita nikajifunza na kuanza kufanyia kazi kwa miaka ya hii ya sasa.
Naomba iwe ni progressive skill yaani ikifika 2030 niwe niwe proffesion kwa sababu nitakuwa nimeimaster kwa kiasi kikubwa. Natanguliza shukrani wakuu.
Mbona mimi sina hizo hela,nipo tu uswahilini napigwa na Jua.shida wabongo wengi hawajali wanalalia sana wanataka kitonga,ukimwambia mmbongo hiki kitu kinatakiwa kuwa hiv anazunguka wee ili kukwepa cost mwisho wa siku mnakuja kulaumiana tu bora atafute fani nyingine.Video editing short form and long form content
Artificial intelligence labda.
KUBETI TAFUTA ODDS 1.5 KILA WIKI STAKE KUANZIA 250K
Learn AI...
Sawa deals zake zipoje na naitumia vipi
Unafanya video editing??Mbona mimi sina hizo hela,nipo tu uswahilini napigwa na Jua.shida wabongo wengi hawajali wanalalia sana wanataka kitonga,ukimwambia mmbongo hiki kitu kinatakiwa kuwa hiv anazunguka wee ili kukwepa cost mwisho wa siku mnakuja kulaumiana tu bora atafute fani nyingine.