Ni skill ipi yenye kipato kirefu naweza kujifunza ndani miezi sita nikajifunza na kuanza kufanyia kazi kwa miaka ya hii ya sasa.
Naomba iwe ni progressive skill yaani ikifika 2030 niwe niwe proffesion kwa sababu nitakuwa nimeimaster kwa kiasi kikubwa. Natanguliza shukrani wakuu.
Naomba iwe ni progressive skill yaani ikifika 2030 niwe niwe proffesion kwa sababu nitakuwa nimeimaster kwa kiasi kikubwa. Natanguliza shukrani wakuu.