Hujui kutumia overdrive boss au?!Hiyo Subaru forester yenye turbo nilitaka kununua mwaka juzi Ila baadae nikabadilisha maamuzi nikavuta rumion Ila sometimes najilaumu kwanini niliogopa kuchukua hiyo ndinga... nimeshawah kuendesha kidogo Toka chamazi Hadi tegeta nimeipenda Sana hiyo chuma..
Tatizo la gari zetu za Japan ni 4 speed transmission ndiyo maana tukikutana na akina Volkswagen golf GTi tunaishia kuisoma namba Tu maana hii ndinga hata uwe na crown utakalishwa tu
Turbo pale inasonya gari zingine ambazo hazina Mamlaka ya speed barabaraniYeah BOV naijua mm inanifurahisha pale unavovuta wese inakuwa inatoa pressure inalia pssipsisssssss! Inakuwa inahamasisha mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu pana jamaa angu aliwa sema anataka gari za kwenda Durban lazima aondoke maana alikua anawahi mnada asubuhi kule nikampeleka sehemu tukakutana na Gti nikashukuru kwa kuwa atawahi kufika alipopanda baadae alizima simu jinsi vijana wanavyotembea na moto alivyowasha simu mji mmoja karibu na Durban akaamua kuachia gari na nauli aliacha maana pale alikua anapata shuttle kutokea pale mazee wale wahuni kwa zile bara bara pana gari zinatembea...Nimekaa hapa, siku ntakapopata mark x yenye 260kph nitakuita uje na Mk8 ya 2021 kisha nikuoneshe kazi! Trust me limiter ni kikwazo pekee ila nje ya 180kph amna cha gti wala ushuzi
Hata kama utatumia overdrive lakini bado Tu Kwa gari zetu za Japan itaenda kwenye speed limit ya 180..Kwa mfano gari nyingi za kisasa ikiwemo rumion tunatumia SPORTS MODE hii IPO kwenye gear box za CVT, inasaidia Sana kwenye kuchanganya mapema Ila ni kawaida Sana ukilinganisha na vyuma vya kijerumani
Jamaa muoga sana inaonesha😁😁😁Mkuu pana jamaa angu aliwa sema anataka gari za kwenda Durban lazima aondoke maana alikua anawahi mnada asubuhi kule nikampeleka sehemu tukakutana na Gti nikashukuru kwa kuwa atawahi kufika alipopanda baadae alizima simu jinsi vijana wanavyotembea na moto alivyowasha simu mji mmoja karibu na Durban akaamua kuachia gari na nauli aliacha maana pale alikua anapata shuttle kutokea pale mazee wale wahuni kwa zile bara bara pana gari zinatembea...
😀😀😀 mtu gari inatembea hadi unaanza kuomba kila aina ya maombi na kutubia dhambi zoteMkuu pana jamaa angu aliwa sema anataka gari za kwenda Durban lazima aondoke maana alikua anawahi mnada asubuhi kule nikampeleka sehemu tukakutana na Gti nikashukuru kwa kuwa atawahi kufika alipopanda baadae alizima simu jinsi vijana wanavyotembea na moto alivyowasha simu mji mmoja karibu na Durban akaamua kuachia gari na nauli aliacha maana pale alikua anapata shuttle kutokea pale mazee wale wahuni kwa zile bara bara pana gari zinatembea...
Shida yetu bongo ni barabara aisee tofauti na nyie ambao mpo nje ya TANZANIA kuna barabara za uhakika huwa nashangaa kuona Hadi Zambia wametushinda hasa kwenye ishu za matuta barabaraniMkuu pana jamaa angu aliwa sema anataka gari za kwenda Durban lazima aondoke maana alikua anawahi mnada asubuhi kule nikampeleka sehemu tukakutana na Gti nikashukuru kwa kuwa atawahi kufika alipopanda baadae alizima simu jinsi vijana wanavyotembea na moto alivyowasha simu mji mmoja karibu na Durban akaamua kuachia gari na nauli aliacha maana pale alikua anapata shuttle kutokea pale mazee wale wahuni kwa zile bara bara pana gari zinatembea...
Kuna maajabu gani mkuu?Maana kama Germany wao Ni wazee wa kuweka ma-turbochager/supercharger kwny magari Yao tu.No rocket science kwny Hilo boss.Shida ya Japan hawatengenezi gari kwa ajili ya high speed... wanatengeneza kwa acceleration; shida ya Japanese hata Differential hazi-support high top speed. Kuna jamaa ana channel inaitwa AutoTopNL huwa anafanya tests kwenye AutoBahn, gari za Japan bila modification sana sana zinafika 250kph, ila Germans and Italians hata gari yenye small power but top speed ni kubwa sana.
😄😄 Hebu ingia YouTube hapo angalia Toyota Yaris GR vs Golf 8 GTI utaleta majibu hapa.Gari pekee ya Japan ambayo ni stock inayoweza kutembea na Golf Gti ni Nissan GTR35 pengine na Lexus L500.... Hakuna gari nyingine inaweza kitembea GTI.
Duh hivi unaongea nini mzee,yaani hako kauchafu ukaweke ligi 1 na Lexus LFA,Acura NSX,Lexus RC F,Lexus IS-F etc.Gari pekee ya Japan ambayo ni stock inayoweza kutembea na Golf Gti ni Nissan GTR35 pengine na Lexus L500.... Hakuna gari nyingine inaweza kitembea GTI.
Harafu ukipanda gari anayoendesha yeye unaweza kushuka ni bwana mmoja mwarabu wa mwananyamala....Jamaa muoga sana inaonesha😁😁😁
Harafu hawa vijana hizo Gti wanazifunga na mitungi ya gesi gari inakua inamaliza speed ila ile unayosoma kwenye dash board sio yenyewe na ukikamatwa na gari yenye mtungi ni kosa kisheria harafu mtu anasema sijui Subaru wahuni wanakimbiza gari hawa utadhani roho zinaokotwa na mzinga wa gari zao mara nyingi haponi mtu...mimi niliwahi pitwa na Mercedes moja nikiwa na 220km/h kwenye clock harafu mtu alienipita kama mimi nimesimama ilibidi nipunguze speed ili kuona nachokisoma ni sahihi na yule muhuni kanipita vile hapo Gaborone tunaitafuta Kazungula kama 900km hivi yule jamaa alitembea ile picha haijatoka machoni mwangu ni kama mwaka wa tatu huu toka hilo tukio limetokea...Shida yetu bongo ni barabara aisee tofauti na nyie ambao mpo nje ya TANZANIA kuna barabara za uhakika huwa nashangaa kuona Hadi Zambia wametushinda hasa kwenye ishu za matuta barabarani
Ni vile tu hujakutana na wahuni hapa hapa Tz,wakina Jason wametune Gari zao(Toyota) na zikipigwa speed gun kitu inasoma 320km/h.Harafu hawa vijana hizo Gti wanazifunga na mitungi ya gesi gari inakua inamaliza speed ila ile unayosoma kwenye dash board sio yenyewe na ukikamatwa na gari yenye mtungi ni kosa kisheria harafu mtu anasema sijui Subaru wahuni wanakimbiza gari hawa utadhani roho zinaokotwa na mzinga wa gari zao mara nyingi haponi mtu...mimi niliwahi pitwa na Mercedes moja nikiwa na 220km/h kwenye clock harafu mtu alienipita kama mimi nimesimama ilibidi nipunguze speed ili kuona nachokisoma ni sahihi na yule muhuni kanipita vile hapo Gaborone tunaitafuta Kazungula kama 900km hivi yule jamaa alitembea ile picha haijatoka machoni mwangu ni kama mwaka wa tatu huu toka hilo tukio limetokea...
Hatari sanaa hiyoo kama umepewa lift lazima ushukeHarafu hawa vijana hizo Gti wanazifunga na mitungi ya gesi gari inakua inamaliza speed ila ile unayosoma kwenye dash board sio yenyewe na ukikamatwa na gari yenye mtungi ni kosa kisheria harafu mtu anasema sijui Subaru wahuni wanakimbiza gari hawa utadhani roho zinaokotwa na mzinga wa gari zao mara nyingi haponi mtu...mimi niliwahi pitwa na Mercedes moja nikiwa na 220km/h kwenye clock harafu mtu alienipita kama mimi nimesimama ilibidi nipunguze speed ili kuona nachokisoma ni sahihi na yule muhuni kanipita vile hapo Gaborone tunaitafuta Kazungula kama 900km hivi yule jamaa alitembea ile picha haijatoka machoni mwangu ni kama mwaka wa tatu huu toka hilo tukio limetokea...
Bara bara za bongo huwezi kumaliza hizo speed na pia mimi sio mnyonge kwenye magari mkuu,heshima nayapa G 63 na Velar hayo wacha waende..Ni vile tu hujakutana na wahuni hapa hapa Tz,wakina Jason wametune Gari zao(Toyota) na zikipigwa speed gun kitu inasoma 320km/h.
Yeye anajifanya chizi magari ila alikutana na wehuHarafu ukipanda gari anayoendesha yeye unaweza kushuka ni bwana mmoja mwarabu wa mwananyamala....
Ni vile tu hujakutana na wahuni hapa hapa Tz,wakina Jason wametune Gari zao(Toyota) na zikipigwa speed gun kitu inasoma 320km/h.
Ila ile Subaru unayoizungumzia inatembea mimi nilikua sijaifatilia nilikua nashangaa kwenye auction mbona wahuni wanaigombea nikaja kukuta balaa lake maeneo ya Woodmed muhuni anaitafuta Pretoria harafu anafatwa na bmw piki piki kubwa mimi nikiwaona wapo kazini nakaa lane ya wanyonge kuangalia derby yao tuu..Jason Frisby ana mikwaju ya hatari, Aristo, Mark x 2GR, Chaser Modelista hizo gari zote ni maangamizi😁 mzee wa Moshi chuga 20 minutes...
Subaru ipi hio? Nikumbushe mzeeIla ile Subaru unayoizungumzia inatembea mimi nilikua sijaifatilia nilikua nashangaa kwenye auction mbona wahuni wanaigombea nikaja kukuta balaa lake maeneo ya Woodmed muhuni anaitafuta Pretoria harafu anafatwa na bmw piki piki kubwa mimi nikiwaona wapo kazini nakaa lane ya wanyonge kuangalia derby yao tuu..