wa kupuliza
JF-Expert Member
- Jun 15, 2012
- 15,216
- 37,757
Kwani hao wakina Jason hizo 320km/h hua wanaendeshea barabara za nchi gani mkuu?Bara bara za bongo huwezi kumaliza hizo speed na pia mimi sio mnyonge kwenye magari mkuu,heshima nayapa G 63 na Velar hayo wacha waende..