Kentsuhcy Wrudate
JF-Expert Member
- Aug 20, 2019
- 1,075
- 653
Mara nyingi ni weekends. J'pil iliopita kulikua na car meet pale parking za cocoWanafanyaga siku gani kiongozi napenda kwenda kutazama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mara nyingi ni weekends. J'pil iliopita kulikua na car meet pale parking za cocoWanafanyaga siku gani kiongozi napenda kwenda kutazama
Tembea uone. Barabara zipo tena za kushindana kwa mpaka speed za 300km/hSasa Bongo hamna barabara za mashindano so ni hatare sana. Yani hiyo michezo Kiafrika bado sana kwanza tupambane tupate maji safi na salama kwa kila raia
Ipi hiyo GTI ? unazungumzi mk8 R au ipiMkuu usilete dharau kwa Mjapan, ana vyuma vya maan sema mchawi limit ua 180 tu. Siku ukiendesha mashine yenye 3GR tu iwe Crown au Mark X ndio utaelewa kuwa mjepu sio kitoto. Hio gti haifiki hata 250HP tena latest ya 2021 ina 228HP. Haiwez gusa mziki wa 3GR-FSE
Yaris inakaa vizuri kwa M135iToyota GR Yaris fucks that shit on a daily😁
Mk8 gti r line ni 315HP huyo anatwishwa 3GR Supercharged anatulia vizuri tu mbona. 😂😂😂Ipi hiyo GTI ? unazungumzi mk8 R au ipi
Hiyo 3GR inalamba mchanga kuanzia mwanzo hadi mwisho kwa hiyo machineMk8 gti r line ni 315HP huyo anatwishwa 3GR Supercharged anatulia vizuri tu mbona. 😂😂😂
2022 Corolla GR inamaliza mchezo mapema sana na ZF-Transmission.Yaris inakaa vizuri kwa M135i
Supercharged version has more grunt. Eats that shit cake Mk8 GTIHiyo 3GR inalamba mchanga kuanzia mwanzo hadi mwisho kwa hiyo machine
Corolla GR apite kwa M135i kwenda wapi ? na kwa kipi alicho nacho za kumzidi M1352022 Corolla GR inamaliza mchezo mapema sana na ZF-Transmission.
Kwenye swala la Performance Mjapan ana mengi ya kujifunza kutoka Ulaya ( German ). unaona 3GR, kuna BMW kuanzia M1, M2, M3, M4, M5, M6, M7 na M8 mjipimie tu wenyewe hapoSupercharged version has more grunt. Eats that shit cake Mk8 GTI
Hahah uko sahihi, ila ukumbuke Mark 4 Supra ziko mpaka 1200HP...Hakuna cha M1 wala M8! Kipigo chake ni cha mbwa koko tu.Kwenye swala la Performance Mjapan ana mengi ya kujifunza kutoka Ulaya ( German ). unaona 3GR, kuna BMW kuanzia M1, M2, M3, M4, M5, M6, M7 na M8 mjipimie tu wenyewe hapo
Uki ukifanyingia ongezeko la nguvu na wenzako wanafanya pia. Gari zinazotoa 1200HP nyingi wame fanya modification, zinatoa zenyewe bila makolokocje mengine ni chache sana za class ya BugatiHahah uko sahihi, ila ukumbuke Mark 4 Supra ziko mpaka 1200HP...Hakuna cha M1 wala M8! Kipigo chake ni cha mbwa koko tu.
Hio ni superchargers tu, ni kama ambavyo BMW wanaweka twin turbo na superchargers.Uki ukifanyingia ongezeko la nguvu na wenzako wanafanya pia. Gari zinazotoa 1200HP nyingi wame fanya modification, zinatoa zenyewe bila makolokocje mengine ni chache sana za class ya Bugati
Bongo hamna hizo barabara wala miundo mbinu kama ikitokea ajaliTembea uone. Barabara zipo tena za kushindana kwa mpaka speed za 300km/h
Cheki hio video. Alikua ni Jason frisby nafkiri... na ni bongo hapo, chugaBongo hamna hizo barabara wala miundo mbinu kama ikitokea ajali
BMW gani hio ambayo iko twin charged? Mara nyingi waga ni kimoja wapo, either ni supercharger au turbochargerHio ni superchargers tu, ni kama ambavyo BMW wanaweka twin turbo na superchargers.
Bongo hamna hizo barabara wala miundo mbinu kama ikitokea ajali
Ukifatilia utazijua tu ziko mzeeBMW gani hio ambayo iko twin charged? Mara nyingi waga ni kimoja wapo, either ni supercharger au turbocharger