Ile Chaser Modelista ya Jason Frisby ina clock 32Okph.
Check hio... chuga Tz. Na nimehudhuria races nyingi. Nilishawahi kua hata kwenye gari linatembea zaid ya 260km/h.... so ni kitu kinawezekana tu...
Anasema Bongo hamna hizo barabara wakati Oldonyo sambu na mweka watu wanapiga hizo Drags kila wakati.Cheki hio video. Alikua ni Jason frisby nafkiri... na ni bongo hapo, chugaView attachment 2343799
Watu hatutumii kabisa akili zetu, hao wote wameweka maisha yao ya thamani rehani, hasa walio simama pembezoni mwa road, ningekuwa Trafic piga stick wote haoCheki hio video. Alikua ni Jason frisby nafkiri... na ni bongo hapo, chugaView attachment 2343799
Ilishatokea moja Oldonyo sambu ilifyeka raia kibao ikiwamo college mate mmoja. Watu waliisha within 15 seconds.Watu hatutumii kabisa akili zetu, hao wote wameweka maisha yao ya thamani rehani, hasa walio simama pembezoni mwa road, ningekuwa Trafic piga stick wote hao
Hawana akili hao, gari haziwezi kuwa zinatembea kwa huo mwendo alafu mmejipanga kama nyanya barabarani, likitokea la kutokea wanaisha hapoIlishatokea moja Oldonyo sambu ilifyeka raia kibao ikiwamo college mate mmoja. Watu waliisha within 15 seconds.
Yani inatakiwa mkae mita 10 pembeni. Hata dereva ikimshinda unaweza hata kuikwepa ila gari imemponyoka mwamba ikianza kuchochola inaanza kukufyeka wewe na wenzio mliosimama kwenye chaki ya njano.๐๐๐Hawana akili hao, gari haziwezi kuwa zinatembea kwa huo mwendo alafu mmejipanga kama nyanya barabarani, likitokea la kutokea wanaisha hapo
sasa hiyo ni barabara ya mashindano last time si iiliua sana
Check hio... chuga Tz. Na nimehudhuria races nyingi. Nilishawahi kua hata kwenye gari linatembea zaid ya 260km/h.... so ni kitu kinawezekana tu...
Unamaanisha nn kusema last time? Hio barabara bado inatumika kushindania. Ni illegal tho...sasa hiyo ni barabara ya mashindano last time si iiliua sana
Gari yeyote ikiwa tunned inafika mbali sana.Hahah uko sahihi, ila ukumbuke Mark 4 Supra ziko mpaka 1200HP...Hakuna cha M1 wala M8! Kipigo chake ni cha mbwa koko tu.
Stock bimmer zote zinakuwaga sio N/A so real contest ni lazima iwe na tunned Machine.Gari yeyote ikiwa tunned inafika mbali sana.
Hiyo M5 inacheua mara 3 ya hiyo stock hp.
Ulinganifu sahihi ni wa stock hp.
Yaris mnyama sana๐๐ Hebu ingia YouTube hapo angalia Toyota Yaris GR vs Golf 8 GTI utaleta majibu hapa.
niliwahi kuwa na subaru plain, haina turbo kila nilipokutana na watu wa crown na brevis nilikuwa nawapa overdrive nilikua nawapoteza hatari sana, sasa yenye turbo najua moto wake ni balaa zaidi
VW Golf GTI anakamata wote hapo kwenye list ukiiacha Nissan GT-RWakuu kwema?
Mm ni muumini mkubwa wa haya magari ambayo yana perfomance kubwa na nzuri hapo road, pia kwa maswala ya masafa marefu
Hii ni list yangu fupi ya highly perfomance car:
1โsubaru forester crossport turbo
2โmitsubishi lancer Evo
3โsubaru imprezza WRX turbo
4โNissan GTโR
Fanya kudondosha na ww list yako kali ya magari unayoyakubali
Yap. Nafikiri hata Nissan GT-RVW Golf GTI anakamata wote hapo kwenye list ukiiacha Nissan GT-R
๐ถ๐ถ๐ถ๐คจ๐คจ๐๐๐๐๐ถ๐ถ๐ถ๐คจ๐คจ๐๐๐๐คฃ๐คฃ๐คฃ๐๐๐hahahaha gari za Mjapan zikifika 120 tu zinaanza tetema kama zina kideli ๐๐๐