3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
- Thread starter
- #61
Hata wewe unaweza ukawa mchambuzi tena kuliko huyo unaemsema sababu ni mswahili mwenzetu.Aliwahi kusema mchambuzi mmoja na mimi nikakubaluana naye toka moyoni.
Alisema, Simba inacheza game ya show off ndio ipate matokeo halafu Yanga huwa haina jadi za show off sisi ni mipango tu ili mradi tupate matokeo ndio maana mpaka leo Young Africans ni mabingwa wa kihistoria.
Chama ni kisanga ila hayo mengine uliyoongeza unayajua mwenyewe.
Nyie ni mipango tu.. mipango ipi hiyo.?? Au JAMAL MALINZI
Hako kaujumbe ka mwisho (salute).