High quality ya Wachezaji ipo Simba SC

Hata wewe unaweza ukawa mchambuzi tena kuliko huyo unaemsema sababu ni mswahili mwenzetu.

Nyie ni mipango tu.. mipango ipi hiyo.?? Au JAMAL MALINZI

Hako kaujumbe ka mwisho (salute).
 
Hata wewe unaweza ukawa mchambuzi tena kuliko huyo unaemsema sababu ni mswahili mwenzetu.

Nyie ni mipango tu.. mipango ipi hiyo.?? Au JAMAL MALINZI

Hako kaujumbe ka mwisho (salute).
Simba anacheza mpira wa pasi nyingi ili kupata matokeo Yanga mipango mchezoni na siyo hivyo ulivyofikiri wewe. Yan hatuchezi kama nyie sijui mpira utoke kwa kipa then beki mara midfield ndio ufike kwa wafungaji.

Yan callibre ya mpira wa Yanga siyo show off ndio nilichomaanisha Feisal anaweza akapiga ndefu ikamfikia Mukoko au Kisinda akaweka.

Umenishangaza sana mpaka leo unaamini Malinzi alikua anatubeba. Kwa iyo na sisi tuamini Karia anawabeba? Hebu badilisheni mentality bhana
 
hamna timu ya kumfunga Yanga
 
Ndio anavyowadanganya Nugaz.. Endeleeni kujidokoa tu.
kwenye vpl last season nilikupiga,kwenye fa uliiona timu yangu ilivyocheza hadi kufungwa goli,m1 ya mchezaji aliekua kituko siku kwa kucheza kufuata maelekezo ya hans pope msimu huu ndio star huko kwenu,unaanzaje kubisha km morrison na wenzie walitumika siku ile kuihujumu Yanga,shishimbi nae mlishamtia mfukoni mkidai mtamsajili,akawapa goli la 3 lile,morrison siku ile alikua akabi na akipata mpira anarudi golini kwake,juma abdul na jafar nao wakawa awaeleweki,nikupe tu,ila siku wachezaji 7 wa Yanga walikua compromise na mikia,5 walianza,m1 akaingia sub m1 mchora ramani yote alikua benchi,tumepiga chini wote hao
 
metacha hakupewa fungu???hahahahaha utooo kama uto,kagera nao waliwalala 3-0 ilikuwaje?
 
Simba tunacheza mpira wa kisasa uwanjani nyie utopolo mpira wenu mnachezea mdomoni tena mkilalamika.Kama mawazo yenu ndio hayo mna safari ndefu sana.Ongea mpira mkuu,visingizio havichezi mpira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…