3llyEmma
JF-Expert Member
- Oct 23, 2017
- 6,172
- 6,884
- Thread starter
- #121
Hawezi kutamani, ukizingatia pale kwao kuna mchezaji mmoja bado hajawasili kujiunga na timu..Akiliangalia hili kosi la Wanalunyasi lilivyoenea basi hatamani kabisa ifike October 18í ½í¸í ½í¸í ½í¸
Kuna mchezaji anaitwa "Muunganiko" sijui anatoka nchi gani huyu eti bado hajafika.