May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Zaidi ya nusu ya nchi ulizozitaja hapo nazo zinatukopesha.
Sasa sisi tunadaiwa na nani? na wao wanadaiwa na nani?.
Maana ishu hapa sio tumekopa ngapi na kina nani wamekopa zaidi, ishu ni Je,Mkopaji akitaka pesa zake tuna kifua hichohicho alichonacho France na Japan?.
Sasa sisi tunadaiwa na nani? na wao wanadaiwa na nani?.
Maana ishu hapa sio tumekopa ngapi na kina nani wamekopa zaidi, ishu ni Je,Mkopaji akitaka pesa zake tuna kifua hichohicho alichonacho France na Japan?.