Highest government debt as share of GDP, 2020

Highest government debt as share of GDP, 2020

Inawezekana uko sahihi Mkuu bahati mbaya me sina figure za muhula wa mwisho wa jakaya, ila tutalinganisha vipi miaka 5 ya jakaya ambayo yeye aliitumikia na miaka 5 ya mwisho ya Hayati Magufuri ilhali ye hajaimaliza miaka ya mwisho

huwezi jua labda Hayati angekopa kuliko jakaya, na kwa kawaida muhula wa mwisho lazima wakope zaidi maana waga kuna miradi mingi ambayo inakuwa ndani ya budget na haijakamilika, hivo wanakopa at least kuacha imefika mbali au kumalizia kabisa

kwa muhula wa kwanza wa Hayati Magufuri hadi Dec 2020 alikuwa kakopa jumla ya trillion 18,kama hutojali unaweza nijuza katika muhula wa mwisho wa Jakaya yeye alikopa kiasi gani cha pesa ili tujaribu kufanya comparison katika hoja yako
Naomba chanzo cha taarifa yako nijiridhishe hiyo trillions 18 za miaka mitano ya Magufuli
 
Naomba chanzo cha taarifa yako nijiridhishe hiyo trillions 18 za miaka mitano ya Magufuli
Usijali mkuu nitakupa tu source maana ni rahisi sana kujua deni la taifa ni ajabu kama wewe hujui, ila sidhani kama kuna ubaya endapo ukianza kunipa wewe hiyo figure ambayo umesema jakaya alikopa kiasi kikubwa kuliko Hayati Magufuri
 
Benki ya dunia,IMF , Benki ya Maendeleo ya Africa,Mfuko wa Kuwait nk,huwa inachangiwa/ kuwekezwa na mataifa/taasisi mbalimbali ,fedha zao ziada.
-Fedha hizi huwa zinakopeshwa nchi mbalimbali kwa ajili ya Miradi ya Maendeleo,kwa riba ndogo Sana.
-Wabobezi(Guru's) wa masuala ya fedha na mitaji wanashauri kuwa "wekeza kwenye Miradi ya Maendeleo kwa kutumia debenture/Mikopo ya muda Mrefu na wekeza kwenye current assets kwa Mikopo ya muda mfupi/fedha zako taslim."

-Uzoefu unaonyesha kuwa, Kuna wakati Serikali inaweza kujenga hoja,ikasemehewa kulipa riba au deni lote,kama Serikali itatimiza vigezo.
-Madeni ya Serikali ya awamu ya kwanza,yalifutwa, baada ya Tanzania kuwa miongoni mwa nchi zilizonufaika na msamaha (Hghly Indebted Third world Countries) Nchi za dunia ya tatu zenye madeni makubwa.

Ushauri
(1) Serikali iendelee kukopa mikopo yenye masharti nafuu na iwekezwe kwenye Miradi ya Maendeleo.
(2) Serikali mikopo mingine iwekezwe kwenye sekta ya kilimo Cha umwagiliaji , mifugo na uvuvi wa bahati.
 
Mkuu ishu ya kukopa haikwepeki popote duniani.... but the issue is tutazitumia kwenye allocation site.. kwa mfano tunakopa kwa ajili ya miradi mikubwa let say.. but tunazitumia huko au kuna wachache wanaenda kula kuku kwa mrija, ila ikija suala la kulipa ni national responsibility...
Awamu ya pili na ya nne ndizo tulikuwa na tatizo kubwa sana la hivyo; watu wanakopa bila kuwa usimamizi mzuri wa hizo fedha, ufisadi na wizi mwingi, wanagawana pesa zote bila kufanya la maana kuiachia nchi deni kubwa.
 
Hakuna anayehangaika, and hakuna cha kuficha pia, ndiyo maana mnaambiwa tumekopa this, riba ni hii, italipwa kwa miaka kadhaa na matumizi ni yafuatayo...

Tuna shida kubwa sana kwenye area ya ukusanyaji wa mapato na udhibiti wa fedha ya umma. Mikopo inapaswa iwe supplement (sio mbadala) ya vyanzo vya ndani. Sasa hivi pale Bandari pameshakuwa shamba la bibi once again! Vilevile, haiwezekani tukawa tunagawa hundreds of million of cash kwenye kila halmashauri, kwa mfano, bila ya kuwa na mipango na control mechanisms za kueleweka. At the end of the day, tutakuwa kama watu tunaojaribu kujaza maji kwenye pipa ambalo linavujisha maji at an alarming rate. Let’s not shortchange the future generations by recklessly pushing the public debt to an unsustainable level!
 
Tuna shida kubwa sana kwenye area ya ukusanyaji wa mapato na udhibiti wa fedha ya umma. Mikopo inapaswa iwe supplement (sio mbadala) ya vyanzo vya ndani. Sasa hivi pale Bandari pameshakuwa shamba la bibi once again! Vilevile, haiwezekani tukawa tunagawa hundreds of million of cash kwenye kila halmashauri, kwa mfano, bila ya kuwa na mipango na control mechanisms za kueleweka. At the end of the day, tutakuwa kama watu tunaojaribu kujaza maji kwenye pipa ambalo linavujisha maji at an alarming rate. Let’s not shortchange the future generations by recklessly pushing the public debt to an unsustainable level!
Hili la bandarini, what is your source?
 
Umezingua

Soon tutakopa kulipa madeni

Namba hazidanganyi

Let say kwa mwezi tunakusanya tr 1.4 ambayo ni nadra kuipata

Kwa mwaka tutakua na tr 16.

Kwa mujibu wa Ndungai spika kila mwaka tunalipa tr 10 kuhudumia madeni

Kwa hiyo tunabaki na tr 6

Tr 6 gawanya kwa 12 inakuja kama Bil 500

Wote tunajua mishahara tuu inakaribia kwenye bil 500..

Kwa hiyo siku si nyingi tutakopa au tutatumia pesa za misaada kulipa madeni.
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%

A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.

The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.

View attachment 2061310

Credits: Tanzania Business Insight
 
1640830326763.png
 
Umezingua

Soon tutakopa kulipa madeni

Namba hazidanganyi

Let say kwa mwezi tunakusanya tr 1.4 ambayo ni nadra kuipata

Kwa mwaka tutakua na tr 16.

Kwa mujibu wa Ndungai spika kila mwaka tunalipa tr 10 kuhudumia madeni

Kwa hiyo tunabaki na tr 6

Tr 6 gawanya kwa 12 inakuja kama Bil 500

Wote tunajua mishahara tuu inakaribia kwenye bil 500..

Kwa hiyo siku si nyingi tutakopa au tutatumia pesa za misaada kulipa madeni.
Pumba tupu, it seems hujui mengi kuhusu uchumi
 
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%

A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.

The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.

View attachment 2061310

Credits: Tanzania Business Insight

Let’s be real here! Tusipende sana kujilinganisha na wengine, kwasababu hatujui accountability systems zao zikoje. Tunajua hapa kwetu sehemu kubwa ya pesa ya development projects inapigwa na corrupt actors. Loose financial practices zetu zinachangia kukua kwa deni la taifa bila ongezeko sahihi la uwezo wa kulilipa. Tunapaswa kuboresha sana accountability systems zetu. Vinginevyo, tutakuja kukumbukwa kwa kuvibebesha vizazi vijavyo mzigo usiokuwa na tija!
 
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%

A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.

The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.

View attachment 2061310

Credits: Tanzania Business Insight
Wenzio wanakopa kufanya mambo makubwa wewe unakopa kulipa mishahara,poshi,kununua unga,dawa na kondom,,wapi na wapi?
 
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%

A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.

The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.

View attachment 2061310

Credits: Tanzania Business Insight
Wenzio wanakopa kufanya mambo makubwa wewe unakopa kulipa mishahara,poshi,kununua unga,dawa na kondom,,wapi na wapi?
 
Wenzio wanakopa kufanya mambo makubwa wewe unakopa kulipa mishahara,poshi,kununua unga,dawa na kondom,,wapi na wapi?
 
Back
Top Bottom