Naipendatz
JF-Expert Member
- Jul 27, 2011
- 5,096
- 8,234
- Thread starter
- #41
Anayeogopa kukopa ndiye maskini namba moja, na siyo tu ni maskini wa mali, bali akili piaPale Maskini anapojifariji na Bakuli lake mkononi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anayeogopa kukopa ndiye maskini namba moja, na siyo tu ni maskini wa mali, bali akili piaPale Maskini anapojifariji na Bakuli lake mkononi
Naomba chanzo cha taarifa yako nijiridhishe hiyo trillions 18 za miaka mitano ya MagufuliInawezekana uko sahihi Mkuu bahati mbaya me sina figure za muhula wa mwisho wa jakaya, ila tutalinganisha vipi miaka 5 ya jakaya ambayo yeye aliitumikia na miaka 5 ya mwisho ya Hayati Magufuri ilhali ye hajaimaliza miaka ya mwisho
huwezi jua labda Hayati angekopa kuliko jakaya, na kwa kawaida muhula wa mwisho lazima wakope zaidi maana waga kuna miradi mingi ambayo inakuwa ndani ya budget na haijakamilika, hivo wanakopa at least kuacha imefika mbali au kumalizia kabisa
kwa muhula wa kwanza wa Hayati Magufuri hadi Dec 2020 alikuwa kakopa jumla ya trillion 18,kama hutojali unaweza nijuza katika muhula wa mwisho wa Jakaya yeye alikopa kiasi gani cha pesa ili tujaribu kufanya comparison katika hoja yako
Mbona simple tuu, alikuta deni 43 trl, hadi anakufa akaliacha 73 trlNaomba chanzo cha taarifa yako nijiridhishe hiyo trillions 18 za miaka mitano ya Magufuli
Usijali mkuu nitakupa tu source maana ni rahisi sana kujua deni la taifa ni ajabu kama wewe hujui, ila sidhani kama kuna ubaya endapo ukianza kunipa wewe hiyo figure ambayo umesema jakaya alikopa kiasi kikubwa kuliko Hayati MagufuriNaomba chanzo cha taarifa yako nijiridhishe hiyo trillions 18 za miaka mitano ya Magufuli
Mimi ninazo data, nitashare kesho. Nchi ambazo ziko below 50% ni Kuwait na UAE.Inawezekana ukawa sahihi Mkuu kuwa jamaa anaturisha matango pori, unaweza kutusaidia Data unazojua wewe ni za ukweli?
Awamu ya pili na ya nne ndizo tulikuwa na tatizo kubwa sana la hivyo; watu wanakopa bila kuwa usimamizi mzuri wa hizo fedha, ufisadi na wizi mwingi, wanagawana pesa zote bila kufanya la maana kuiachia nchi deni kubwa.Mkuu ishu ya kukopa haikwepeki popote duniani.... but the issue is tutazitumia kwenye allocation site.. kwa mfano tunakopa kwa ajili ya miradi mikubwa let say.. but tunazitumia huko au kuna wachache wanaenda kula kuku kwa mrija, ila ikija suala la kulipa ni national responsibility...
Hakuna anayehangaika, and hakuna cha kuficha pia, ndiyo maana mnaambiwa tumekopa this, riba ni hii, italipwa kwa miaka kadhaa na matumizi ni yafuatayo...
Unaongelea huu mkopo wa dola Milioni 567.25? Tulisamehewa lini? Una link ya bandiko la huo msamaha?na mkopo wa chanjo ya COVID-19 alisamehewa,
Hili la bandarini, what is your source?Tuna shida kubwa sana kwenye area ya ukusanyaji wa mapato na udhibiti wa fedha ya umma. Mikopo inapaswa iwe supplement (sio mbadala) ya vyanzo vya ndani. Sasa hivi pale Bandari pameshakuwa shamba la bibi once again! Vilevile, haiwezekani tukawa tunagawa hundreds of million of cash kwenye kila halmashauri, kwa mfano, bila ya kuwa na mipango na control mechanisms za kueleweka. At the end of the day, tutakuwa kama watu tunaojaribu kujaza maji kwenye pipa ambalo linavujisha maji at an alarming rate. Let’s not shortchange the future generations by recklessly pushing the public debt to an unsustainable level!
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Pumba tupu, it seems hujui mengi kuhusu uchumiUmezingua
Soon tutakopa kulipa madeni
Namba hazidanganyi
Let say kwa mwezi tunakusanya tr 1.4 ambayo ni nadra kuipata
Kwa mwaka tutakua na tr 16.
Kwa mujibu wa Ndungai spika kila mwaka tunalipa tr 10 kuhudumia madeni
Kwa hiyo tunabaki na tr 6
Tr 6 gawanya kwa 12 inakuja kama Bil 500
Wote tunajua mishahara tuu inakaribia kwenye bil 500..
Kwa hiyo siku si nyingi tutakopa au tutatumia pesa za misaada kulipa madeni.
Hili la bandarini, what is your source?
Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Wenzio wanakopa kufanya mambo makubwa wewe unakopa kulipa mishahara,poshi,kununua unga,dawa na kondom,,wapi na wapi?Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Wenzio wanakopa kufanya mambo makubwa wewe unakopa kulipa mishahara,poshi,kununua unga,dawa na kondom,,wapi na wapi?Japan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Pamoja mkuuMimi ninazo data, nitashare kesho. Nchi ambazo ziko below 50% ni Kuwait na UAE.
Rais alisema wizi umerudi kama zamani?Hata angalau kusikia hujasikia Rais alisema/alifanya nini pale Bandari siku za karibuni?