Sawa bossMkuu Ndugai ni mnafki sana yule mzee, hii mikopo imeanzia kwa Hayati Magufuri ila hakuwahi kusema chochote ispokuwa aliamua kuwa sehemu ya propanga kwamba Tanzania tunajenga miradi kwa pesa zetu za ndani
Lakini ukiangalia deni la taifa tangu Dec mwaka 2016 hadi Dec 2020 lilikuwa limetoka kwenye trillion 39 hadi hadi trillion 57 na hapo ni kwa muhula mmoja wa urahisi, je ingetimia mihula miwili ingekuaje?
mradi wa ujenzi wa reli tulikopa trillion 3.3 ila tukasema ni hela yetu, kabla ya Hayati Magufuri kufariki kwenye uzinduzi wa flyover alisema tumekopa pesa Japan kwa ajili ya mradi barabara ya mwendokasi kwenda Mbagala
Tangu mama Samia ameingia madarakani ye ameshakopa trillion 1.7 kama bado hajaongeza ila hizo ndio ambazo nina taarifa nazo, na mkopo wa chanjo ya COVID-19 alisamehewa, kwahiyo me nachokiona hapa, mama kinachomponza ni kutaka kuweka uwazi wa hiyo mikopo, kuna kundi kubwa la viogozi serikalini hawamuogopi kama ilivokuwa kwa Hayati Magufuri
Ndio boss, yani ni kheri wahoji viongozi wengine na wanachi ila sio Ndugai maana yeye ndio alikuwa anawazuia kina Zitto kuhoji/kuongelea ongezeko la deni la taifa ndani ya Bunge lake alafu leo hii ndo anajitokeza kulalamika, hajawahi kuwa na uchungu na Tanzania yule mchumia TumboSawa boss
Chief kama nadhani umeshawahi kudaiwa kwenye maisha yako, je wakati unadaiwa ulikuwa husaidii wengine? Kwamba ilikuwa kila watu wakikuomba msaada wewe unasema unadaiwa? Ok then tajiri haruhusiwi kukopa? Unadhani WB or IMF wapo kwa ajili ya kuokoa jahazi la nchi maskini pekee? Hawakopeshi nchi tajiri? Kwa hizo percentage hapo juu sisi tunakifua kikubwa kulipa deni letu kuliko hao France na Japan, kwa sababu relatively (and ukilinganisha na GDP yetu) deni letu ni dogo na linalipika kuliko waoZaidi ya nusu ya nchi ulizozitaja hapo nazo zinatukopesha.
Sasa sisi tunadaiwa na nani? na wao wanadaiwa na nani?.
Maana ishu hapa sio tumekopa ngapi na kina nani wamekopa zaidi, ishu ni Je,Mkopaji akitaka pesa zake tuna kifua hichohicho alichonacho France na Japan?.
Baba wa taifa mwl JK Nyerere aliwahi kusema kuwa upinzani wa kweli wa kuiondoa ccm madarakani utatoka ndani ya ccm.Ndio boss, yani ni kheri wahoji viongozi wengine na wanachi ila sio Ndugai maana yeye ndio alikuwa anawazuia kina Zitto kuhoji/kuongelea ongezeko la deni la taifa ndani ya Bunge lake alafu leo hii ndo anajitokeza kulalamika, hajawahi kuwa na uchungu na Tanzania yule mchumia Tumbo
Wacha ukichaa asubuhi yote hii.Chief kama nadhani umeshawahi kudaiwa kwenye maisha yako, je wakati unadaiwa ulikuwa husaidii wengine? Kwamba ilikuwa kila watu wakikuomba msaada wewe unasema unadaiwa? Ok then tajiri haruhusiwi kukopa? Unadhani WB or IMF wapo kwa ajili ya kuokoa jahazi la nchi maskini pekee? Hawakopeshi nchi tajiri? Kwa hizo percentage hapo juu sisi tunakifua kikubwa kulipa deni letu kuliko hao France na Japan, kwa sababu relatively (and ukilinganisha na GDP yetu) deni letu ni dogo na linalipika kuliko wao
Obvious iko hivo mkuu, ila miongoni mwa hao watakaofanya hiyo U-turn bila shaka Ndugai hawezi kuwa miongoni mwao, huyu mzee always anajali maslahi yake tu, hadi kufika hatua ya kuanza kuongea hivi basi trust me brother kuna ulaji uliokuwepo kwake na haupo tenaBaba wa taifa mwl JK Nyerere aliwahi kusema kuwa upinzani wa kweli wa kuiondoa ccm madarakani utatoka ndani ya ccm.
Kwa hali ilivyo kwa sasa ni dhahiri ccm inaweza ikawa na mimba ya kuzaa chama kipya cha upinzani.
Tumuombee ule ugonjwa wake uliosababisha akatumia 26billion pale kwa ponjoro usimrudie maana ataozea hapa hapaObvious iko hivo mkuu, ila miongoni mwa hao watakaofanya hiyo U-turn bila shaka Ndugai hawezi kuwa miongoni mwao, huyu mzee always anajali maslahi yake tu, hadi kufika hatua ya kuanza kuongea hivi basi trust me brother kuna ulaji uliokuwepo kwake na haupo tena
Kwakweli Dua zetu kwake ni muhimuTumuombee ule ugonjwa wake uliosababisha akatumia 26billion pale kwa ponjoro usimrudie maana ataozea hapa hapa
hizo data za uongoJapan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Inawezekana ukawa sahihi Mkuu kuwa jamaa anaturisha matango pori, unaweza kutusaidia Data unazojua wewe ni za ukweli?hizo data za uongo
Pale Maskini anapojifariji na Bakuli lake mkononiJapan 237%
Greece 177%
Lebanon 150%
Italy 135%
Singapore 126%
Portugal 117%
Angola 111%
Mozambique 109%
US 107%
Jamaica 103%
Belgium 98%
France 98%
Congo 98%
Cyprus 95%
Spain 95%
Bahrain 93%
Jordan 92%
Egypt 90%
.
.
.
Tanzania 39.15%
A public debt sustainability analysis (DSA) done by the IMF in September 2021 concluded that Tanzania's risk of external debt distress is MODERATE.
The present value of Tanzania's public debt-to-GDP ratio remains contained at around 30%, which is well below the 55% threshold.
View attachment 2061310
Credits: Tanzania Business Insight
Ukilinganisha miaka mitano ya Magufuli na miaka mitano ya mwisho ya Kikwete , Miaka mitano ya mwisho ya Kikwete alikopa zaidi kuliko Magufuli.Mkuu Ndugai ni mnafki sana yule mzee, hii mikopo imeanzia kwa Hayati Magufuri ila hakuwahi kusema chochote ispokuwa aliamua kuwa sehemu ya propanga kwamba Tanzania tunajenga miradi kwa pesa zetu za ndani
Lakini ukiangalia deni la taifa tangu Dec mwaka 2016 hadi Dec 2020 lilikuwa limetoka kwenye trillion 39 hadi hadi trillion 57 na hapo ni kwa muhula mmoja wa urahisi, je ingetimia mihula miwili ingekuaje?
mradi wa ujenzi wa reli tulikopa trillion 3.3 ila tukasema ni hela yetu, kabla ya Hayati Magufuri kufariki kwenye uzinduzi wa flyover alisema tumekopa pesa Japan kwa ajili ya mradi barabara ya mwendokasi kwenda Mbagala
Tangu mama Samia ameingia madarakani ye ameshakopa trillion 1.7 kama bado hajaongeza ila hizo ndio ambazo nina taarifa nazo, na mkopo wa chanjo ya COVID-19 alisamehewa, kwahiyo me nachokiona hapa, mama kinachomponza ni kutaka kuweka uwazi wa hiyo mikopo, kuna kundi kubwa la viogozi serikalini hawamuogopi kama ilivokuwa kwa Hayati Magufuri
Hapo Kuna uwezekano mkubwa wa hao wanaodaiwa kutupiga cha juuZaidi ya nusu ya nchi ulizozitaja hapo nazo zinatukopesha.
Sasa sisi tunadaiwa na nani? na wao wanadaiwa na nani?.
Maana ishu hapa sio tumekopa ngapi na kina nani wamekopa zaidi, ishu ni Je,Mkopaji akitaka pesa zake tuna kifua hichohicho alichonacho France na Japan?.
Ili tuzidi kuwa masikini akili ilale wao wasombe madiniHivyo tuendelee kopa tu?
Cha kushangaza hizo nchi bado zinatukopesha na kutupa msaada
Inawezekana uko sahihi Mkuu bahati mbaya me sina figure za muhula wa mwisho wa jakaya, ila tutalinganisha vipi miaka 5 ya jakaya ambayo yeye aliitumikia na miaka 5 ya mwisho ya Hayati Magufuri ilhali ye hajaimaliza miaka ya mwishoUkilinganisha miaka mitano ya Magufuli na miaka mitano ya mwisho ya Kikwete , Miaka mitano ya mwisho ya Kikwete alikopa zaidi kuliko Magufuli.