minji
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 2,751
- 4,946
Ile ngoma kali sana sana.
Yani toka alipoanza fanya ngoma na S2kizzy nilikuwa namwelewa sana. Hata ile aliyoimba na Kaligraph Jones - wanona haya ni one of my favorite.
Sema kwasasa sioni kama anasonga.
Hiyo pia naipata jamaa mkar sana angekaa tu kama mwanzo alivyokuwa