HIGHSCHOOL ALBUM! album inayoenda kumtengenezea Harmonize fanbase nje ya Tanzania. Kwa bongo kamaliza .

Ile ngoma kali sana sana.
Yani toka alipoanza fanya ngoma na S2kizzy nilikuwa namwelewa sana. Hata ile aliyoimba na Kaligraph Jones - wanona haya ni one of my favorite.
Sema kwasasa sioni kama anasonga.

Hiyo pia naipata jamaa mkar sana angekaa tu kama mwanzo alivyokuwa
 

Huu uoga ndo maana hutaki kuhama hapo kwa shemeji yako!
 
Mnakazana kweli kumnyanyua huyo jamaa yenu kwa kutumia jina la Diamond. Yaani sasa hivi Diamond hata akienda chooni mtasema anamkimbia huyo mmakonde mwenzenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…