Light saber
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,368
- 7,935
πππππ Hiyo alternative nilikuwa nakupa wewe mkuu Niko na mamiloo Moja kubwa kubwa hivi ...huwa inataka kila siku Hadi Kuna Muda naikwepa πππππ sijawahi nyimwa papunenga .ha ha ha angalia isije kubabuka au wakati unapush ikutane na kiwembe....
Utupigie pasi huku, tuokoe jahazi mkuuπππππ Hiyo alternative nilikuwa nakupa wewe mkuu Niko na mamiloo Moja kubwa kubwa hivi ...huwa inataka kila siku Hadi Kuna Muda naikwepa πππππ sijawahi nyimwa papunenga .
Alafu naomba uniache mkuu.πππ
Sijasoma maudhui, ila adhabu itaisha endapo tu..... Utakua na miti mingi ya matundaWanaume wengi wamekuwa wahanga wa kunyimwa tendo kutoka kwa wapenzi wao. Imekuwa ikitumiwa kama silaha na wapenzi wao ili kufanikisha malengo yao. Mfano labda mmekosana au hukutekeleza jambo fulani, basi mwenzako atakuwekea ngumu kwenye kupata tendo. Na hii upelekea wanaume wengine kukimbilia kwenye ulevi na kutafuta michepuko ili aweze kujistiri. Inabidi tutambue lile tendo kwa mwanaume ni 'basic needs', wadada muamke msipokuwa makini mtavunja uhusiano wenu kwa mikono yenu wenyewe.
UmeelewekaSijasoma maudhui, ila adhabu itaisha endapo tu..... Utakua na miti mingi ya matunda
Ndio ataamini ile watu wanasemaga katika kila watu wawili kuna chizi mmoja.Ipo siku utakutana nao mkuu
ha ha ha haNdio ataamini ile watu wanasemaga katika kila watu wawili kuna chizi mmoja.
Acha kelele nisongee Ugali ala
Uno au?Anayetakiwa kusonga ugali kati ya mwanamke na mwanaume ni nani...!!?
Tunajitahidi sana na kila kona tunagusa, ila bado tunanyimwaMkiwakaza wake zenu vizuri hata hivyo visababu vinavyosababisha kunyimwa utamu hamtavieksipiriensi.
Uno au?
ha ha ha ha unajua sana kulizungusha....Mi thijui....
Huyo aliyetaka kusongewa ugali aje hapa aseme ni unoo au mboouu...!??
Kwa sasa humpatii?Mume wangu alininyima unyumba mwaka 2017 kisa alikua na pesa nyingi za kustaafu,Siku anani kumbuka na mimi nimesha msahau,mpaka leo ananishutum kua nilihama chumba,wakati mii nilivyo ona sipewi papuchi nilisogea nilikubali tuu matokeo
Dalili zinaonyesha.....Umejuajeeee...!!!?
Mnayamaliza mengine yanaendeleaSasa kama mtu mmekosana mnaweza kufanya mapenzi? Mnafanya kila mtu akiwa kanuna ama...?
Adhabu itaisha pale wanaume wanaowageuza wanaume wenzao kuwa wanawake watapoacha hiyo tabia.
Yaani ikifika mahala kila mwenye miguu mitatu ni mwanaume rijali na thabiti, basi mtapata mambo motomoto wakati wowote ule mtapotaka kama wapemba vile.
Kβ Matata.