Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Kwa hiyo kila anayenyimwa anagonga hiyo mishetani!?Safii na njia nyingine zote ikiwemo kuwakazia wao watafute wanawake na si wao wajigeuze wanawake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kila anayenyimwa anagonga hiyo mishetani!?Safii na njia nyingine zote ikiwemo kuwakazia wao watafute wanawake na si wao wajigeuze wanawake.
du wapemba wanapiga kila wanapohitajieeeee????
hiyo hiyo..
Kwa hiyo kila anayenyimwa anagonga hiyo mishetani!?
Akikasirika hilo jani litadondoka lenyeweWeeh hilo jani la mgomba ulilojifunika nalo linakufanya uwe mchokozi, liondoe aahahahahhaa
Sitakuja kujaribu kuwagonga hao; anayewagonga hao naye hugongwa.Ni kisababishi kikubwa
ha ha haSaanaaaaa......
Ndo maana muda wote wako na misuli.
Kwani na vikojoleo vinakuwa zimenuna au!?Sasa kama mtu mmekosana mnaweza kufanya mapenzi? Mnafanya kila mtu akiwa kanuna ama...?
Kwa hiyo mnafanya mkiwa mmenuna?Kwani na vikojoleo vinakuwa zimenuna au!?
Mnazima taa tu kidume akianza kupapasa papuchi we achia miguu achomeke zake, hio show inaitwa silent mode! Ukuni ukikukolea utacheka mwenyewe mbele ya safari.Kwa hiyo mnafanya mkiwa mmenuna?
Hiyo aya ya pili yes, ndivyo inavyotakiwa. Kwa hiyo kama mmekosana badala ya kukimbilia kuomba mzigo tafuta amani kwanza na mwenzioMnazima taa tu kidume akianza kupapasa papuchi we achia miguu achomeke zake, hio show inaitwa silent mode! Ukuni ukikukolea utacheka mwenyewe mbele ya safari.
Halafu nyi hamjafundwa. Maswala ya vinyongo hayatakiwi kwenye ndoa hasa muda wa kulala hakikisheni tofauti zenu mmeziacha kabla hamjapanda kitandani. Sindivyo inatakiwa lakini?
Mwanamke mwenye kisirani hawezi kukupa hio amani wala kumshawishi akupe amani ni ngumu. Wengine huo ugomvi wenyewe lengo linakuwaga ili hamu iishe akunyime tunda.Hiyo aya ya pili yes, ndivyo inavyotakiwa. Kwa hiyo kama mmekosana badala ya kukimbilia kuomba mzigo tafuta amani kwanza na mwenzio
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mimi siko hapa kumuongelea mwanamke mwenye kisirani, namuongelea mwanamke wa kawaida aliye na machungu ya kukosewaMwanamke mwenye kisirani hawezi kukupa hio amani wala kumshawishi akupe amani ni ngumu. Wengine huo ugomvi wenyewe lengo linakuwaga ili hamu iishe akunyime tunda.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuelewa, sasa hapa tunamuongelea huyo wa kwanza. Nobody is perfect, mtu hata kama ni understanding haimaanishi kuwa huwa hakosei au hakwaziki. Hivi kwa mfano let's say nimekutana na mazingira yanaoonesha una mchepuko na wewe badala ya kunipa maelezo nielewe unaishia kufoka na makofi juu, halafu unategemea nikifika chumbani nikupe kiroho safi...acha tu niwe non understandingHakuna mwanamke wa kawaida bali kuna wanawake aina mbili:
1.Understanding
2.Non-Understanding
Kundi la kwanza (Understanding) sifa zao:
-Open minded, huwa wako real to themselves and their patners
-Hawapendi makelele/malumbano.
-Husikiliza zaidi kuliko kuongea
-Wepesi wa kujishusha inapobidi ili kusawazisha mambo.
-Wako positive and very supportive in different situations..humbleness!
-Hawana calibre ya ujuaji.
-Mara nyingi hupenda kupata suluhu ya matatizo upesi kabla mambo hayajawa mengi.
Kundi la pili hawa (Non-Understanding):
-Closed minded, hawawezi kuelezea hisia zao ila wanataka wewe ujue anachotaka as if we ni malaika.
-Argument oriented, jambo dogo litakuzwa ilimradi muanze kuparuana tu...ukikasirika basi hapo moyo wake unakuwa baridi kwamba kakukomesha.
-Wajuaji, huwezi mshauri kitu maana yeye anajua zaidi...kumbe kasikia kwa shoga yake flani huko anakomalia anachotaka yeye ndio kiwe. Ukimkatalia ukafanya lako ujue nyumba haitakalika.
-Attention seeking, kususa ni silaha yao kubwa hawa viumbe wa kundi hili. Atakunyima unyumba, ataacha kukufungulia geti, atakuchunia ili tu akukomeshe na raha yake aone mwisho wewe ndio umejipendekeza.
-Ulalamishi mwingi na masimango, KE hawa hupenda kuongea sana, atalalamika kuhusu hiki, mara kile mara mbona hauko kama fulani.
- Hawapendi kuwa responsible katika situations, Usiombe kufanya plan na mwenza wa kundi hili halafu ishu ikabuma. Lazma atatafuta namna ya kuonesha kwamba wewe ndio umesababisha ishu ifeli ilimradi tu akusimange na kukuangushia jumba bovu. Hata kama wazo alitoa yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mazingira ya mchepuko ni yapi sasa. Mie sichepukagi mbona 😎!!![emoji1787][emoji1787][emoji1787] nimekuelewa, sasa hapa tunamuongelea huyo wa kwanza. Nobody is perfect, mtu hata kama ni understanding haimaanishi kuwa huwa hakosei au hakwaziki. Hivi kwa mfano let's say nimekutana na mazingira yanaoonesha una mchepuko na wewe badala ya kunipa maelezo nielewe unaishia kufoka na makofi juu, halafu unategemea nikifika chumbani nikupe kiroho safi...acha tu niwe non understanding
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] siasa za majitaka hazikubaliki. Unachepuka bwana umesahau juzi ile mchepuko wako alipiga simu wakati uko kuogaMazingira ya mchepuko ni yapi sasa. Mie sichepukagi mbona [emoji41]!!!
Well maelezo ni muhimu hata ikibidi siasa za majitak kidogo zitahusika[emoji38][emoji38][emoji38]