Hii ahadi ya Rais Samia kujenga msikiti Chato imekaaje?

Hii ahadi ya Rais Samia kujenga msikiti Chato imekaaje?

The Phylosopher

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2015
Posts
1,968
Reaction score
2,957
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
 
Nimemsikia mheshimiwa rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?
Na kama ni utekelezaji0 wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya ccm inajenga majengo ya kuabudia?
Ndiyo ipo kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi na tena kujenga msikiti cyo jambo baya kwa ajili ya watu kuabudu.Ulitaka aahidi kujenga kilabu cha pombe ?
 
Ndiyo ipo kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi na tena kujenga msikiti cyo jambo baya kwa ajili ya watu kuabudu.Ulitaka aahidi kujenga kilabu cha pombe ?
Kwahiyo mkuu hujui Vilabu vya pombe imekuwa sehemu salama kuliko hata majengo ya kidini?

Masheikh na Mapadri wanalawiti watoto kila uchao.



Umesikia au kuona wapi mtoto kalawitiwa kwenye vilabu vya pombe?
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
Kazi kweli Kweli
 
Ahadi binafsi,
sio mara ya kwanza kuona wanasiasa walio ahidi na wakajenga makanisa na misikiti.
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
Waache tu wajengewe! Maana hakuna namna.

Siku ukisikia Waumini wa Katoliki nao wamepata msaada wa kujengewa Kanisa jipya na Serikali, tufahamishane.
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
Hivyo hivyo ilivyokaa wewe unaona imekaaje kwani?
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Hii thread imewakasirisha wasiopenda kufikiria either kwa kuona tatizo na kulifumbia macho makusudi, au upeo wao wa kufikiria ni mdogo.

Kila siku tunaambiwa serikali haina dini, sasa iweje kwenye ilani ya chama serikali ikatoa ahadi ya kujenga msikiti?

Haya makosa hayatakiwi kufumbiwa macho, yasemwe, kuyakalia kimya makusudi ni unafiki, na unafiki ni dhambi.

Hizo pesa za kujenga huo msikiti zinatoka kwa nani? Samia personally, au zitatoka serikalini tulipoambiwa haina dini?

Majibu sahihi yanahitajika hapa, unafiki na uoga vikiwekwa pembeni.
 
Ndiyo ipo kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi na tena kujenga msikiti cyo jambo baya kwa ajili ya watu kuabudu.Ulitaka aahidi kujenga kilabu cha pombe ?
Umemjibu vizuri sana. Serikali haimini mambo ya imani. Ila inashirikiana na taasisi za dini katika maendeleo na kusaidia jamii. Mbona hushangai hizo hizo dini zimejenga vyuo na hosptali kama bugando na kcmc ambapo hata madaktari wa serikali wameajiliwa?
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
Uwe unasikiliza vizuri ili usiwe unapata uchochoro wa kutaka kumjadili Rais katk mambo yasiyokuwa na maana.

Hiyo ahadi ilitolewa na Hayati Dk. Magufuli, akishirikiana na Taasisi ya Al-Hikima . Rais kasema ahadi zote za Dk. Magufuli, ikiwemo hiyo ya ujenzi wa msikiti zitatekelezwa. Sasa wewe kwanza hukusikiliza vizuri, pili, unaibuka na jambo moja tu la msikiti ahadi nyingine hukuzisikia. Tuache mijadala yenye herufu ya udini.
 
Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.

Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?

Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?


Mungu ni mkubwa na atabaki kuwa mkubwa na anayestahili kuabudiwa au wewe hutaki???
 
Uwe unasikiliza vizuri ili usiwe unapata uchochoro wa kutaka kumjadili Rais katk mambo yasiyokuwa na maana.

Hiyo ahadi ilitolewa na Hayati Dk. Magufuli, akishirikiana na Taasisi ya Alhekeema. Rais kasema ahadi zote za Dk. Magufuli, ikiwemo hiyo ya ujenzi wa msikiti zitatekelezwa. Sasa wewe kwanza hukusikiliza vizuri, pili, unaibuka na jambo moja tu la msikiti ahadi nyingine hukuzisikia. Tuache mijadala yenye herufu ya udini.
Magufuli aliwahi kuchangisha pesa za ujenzi wa msikiti kanisani, hizi za Samia kujenga msikiti zitatoka wapi?
 
Uwe unasikiliza vizuri ili usiwe unapata uchochoro wa kutaka kumjadili Rais katk mambo yasiyokuwa na maana.

Hiyo ahadi ilitolewa na Hayati Dk. Magufuli, akishirikiana na Taasisi ya Alhekeema. Rais kasema ahadi zote za Dk. Magufuli, ikiwemo hiyo ya ujenzi wa msikiti zitatekelezwa. Sasa wewe kwanza hukusikiliza vizuri, pili, unaibuka na jambo moja tu la msikiti ahadi nyingine hukuzisikia. Tuache mijadala yenye herufu ya udini.
Jf ni sehemu ya watu walio na kiu ya kulalamika. Utatafutwa upenyo mtu alalamike hata kwa kutwist ukweli. Kama anabisha ulichoandika aweke clip ya ahadi ya msikiti aumbuke
 
Uwe unasikiliza vizuri ili usiwe unapata uchochoro wa kutaka kumjadili Rais katk mambo yasiyokuwa na maana.

Hiyo ahadi ilitolewa na Hayati Dk. Magufuli, akishirikiana na Taasisi ya Alhekeema. Rais kasema ahadi zote za Dk. Magufuli, ikiwemo hiyo ya ujenzi wa msikiti zitatekelezwa. Sasa wewe kwanza hukusikiliza vizuri, pili, unaibuka na jambo moja tu la msikiti ahadi nyingine hukuzisikia. Tuache mijadala yenye herufu ya udini.
Sawa kabisa! Je Magufuli aliahidi kwa kutumia fedha za umma au kwa mshahara wake?
 
Jf ni sehemu ya watu walio na kiu ya kulalamika. Utatafutwa upenyo mtu alalamike hata kwa kutwist ukweli. Kama anabisha ulichoandika aweke clip ya ahadi ya msikiti aumbuke
Hapa zinajadiliwa hoja na siyo viroja kama vyako!
 
Back
Top Bottom