Vesuvius
JF-Expert Member
- Jun 27, 2021
- 2,478
- 5,102
Weka clipHapa zinajadiliwa hoja na siyo viroja kama vyako!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Weka clipHapa zinajadiliwa hoja na siyo viroja kama vyako!
Marehemu JPM alijenga msikiti Dodoma tena kwa kuchangisha pesa kanisani, suala lililowaudhi sana maaskofu nchini. Sidhani kama hilo suala ulilizungumzia.Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.
Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?
Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?
Jibu safi sana hili.Ndiyo ipo kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi na tena kujenga msikiti cyo jambo baya kwa ajili ya watu kuabudu.Ulitaka aahidi kujenga kilabu cha pombe ?
Kwenye vilabu vya pombe si ndiko wanakokusanya kodi,ilifaa ajenge vilabu vya pombe sio nyumba za ibada.Ndiyo ipo kwenye ilani ya CCM ya uchaguzi na tena kujenga msikiti cyo jambo baya kwa ajili ya watu kuabudu.Ulitaka aahidi kujenga kilabu cha pombe ?
Huoni huko vyuoni na hospital watanzania wa dini zote wanapata huduma,umewahi sikia ruzuku toka serikalini ikaenda kujenga seminary(rejea mfumo wa seminary za kikatoliki)Umemjibu vizuri sana. Serikali haimini mambo ya imani. Ila inashirikiana na taasisi za dini katika maendeleo na kusaidia jamii. Mbona hushangai hizo hizo dini zimejenga vyuo na hosptali kama bugando na kcmc ambapo hata madaktari wa serikali wameajiliwa?
yawezekana kwa hela zake, huwezi mzuia maana ile ni nyumba ya kuabudia.. ila kama ni za umma hapana si matumizi mazuri ya pesa zetu.Nimemsikia mheshimiwa Rais jana akisema ahadi zote alizowaahidi Wana Chato wakati wa kampeni atazitekeleza ikiwemo ya kuwajengea msikiti.
Hii ahadi ya ujenzi wa msikiti ni ahadi binafsi ya Rais au ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya chama!?
Na kama ni utekelezaji wa ilani ya chama inamaana siku hizi serikali ya CCM inajenga majengo ya kuabudia?