Hii App ya NaPA ya postcode imekosewa sana

Kibosho1

JF-Expert Member
Joined
Dec 12, 2017
Posts
2,621
Reaction score
4,293


Serikali inapswa kuwa makini sana kama ndio wanasimamia hii App.

Hayo majina ya mito yamekosewa sana. Huo mto uliopewa jina la Karanga sio jina lake halisi na sio mkubwa. Mto unaoitwa karanga ni huo nilioweka alama x na huo ulioko kwenye mshale unaitwa Nsoo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…