Dah kuna watu bado usiku wanahangaika kwenda kuangalia matako ya mikoa ya katiHiyo ni kawaida sana wewe fata kinywaji kunywa tembea..
Hata kama una site ukienda kukagua upo na bodaboda fundi anakuona Boss miyeyusho hata ukiulizia material Ata focus kwenye material ya bei rahisi alafu ni local.
Nitoe pole kwa yeyote aliyekumbwa au juguswa ka kadhia hii naahidi kulifanyia kazi, aidha nikushauri pia kama hauna au gari yako ni mbaya mbaya jaribu kutafuta hela u upgrade gari yako. Ahsante!Yaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.
Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.
Nawasiliasha.
NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
Mbea sana wewe.Yaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.
Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.
Nawasiliasha.
NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
Unafuata nini sasa kama huna hizo mbanga???Yaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.
Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.
Nawasiliasha.
NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
Hao wenye gari nyeusi hua wanawafira hao wahudumuMmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.
Nenda kavushe magendo yaliyoingia na majahazi.Nimetoka pande hizo by saa 6 niko zangu Malindi hapa usingizi hakuna
Walevi wana tabu hapo ukute alibeba hadi vyeti kuwapelekea wahudumu wajue kuwa alimaliza Chuo hawa jamaa wakilewa wanaongea vitu vya hovyo sana ndio maana wahudumu wanawadharau...fikiria huyu ajalewa kaandika hivi akilewa si ataongea pumba za kutosha sana.Umelazimishwa kwenda hapo mbona bar ni nyingi pande hizo🤔🤔
Yani hela yako mwenyewe uanze kuiandikia uzi mrefu hivi ????
Nadhani upo sahihiYaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.
Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.
Nawasiliasha.
NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Ukienda na IST unaulizwa unatumia soda gani
TobaaaahHao wenye gari nyeusi hua wanawafira hao wahudumu
Umetamani uwe muhudumu na wewe ili ufirwe?Tobaaaah