Hii baa ya Maikoz Mbweni, usipokuja na gari jeusi la tinted hadi wahudunu wanakuona kama kachumbali tu

Hii baa ya Maikoz Mbweni, usipokuja na gari jeusi la tinted hadi wahudunu wanakuona kama kachumbali tu

Inferiority Complex at its peak 😀 😀 😀 .

Wewe kama kapuku basi ni kapuku tu. Usitake kunyenyekewa halafu hata tip hutoi.
 
Ngoja leo nivae ndala zangu nipite hapo nijionee yatakayojiri..

Wahudumu wanapaswa kuwa neutral na kutoa huduma bora kwa kila mteja.

Matter of fact, watu wa IST na boda tunaongoza kutoa tips za buku mbili mbili kuliko wale wabahili wa Rovers!
 
Yaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.

Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.

Nawasiliasha.

NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
Hapo inabidi tuone kama hamna wenye uhusiano na kule ununio.
 
Nimepata hamu ya ka nyama choma na ka peps kabaridiii...
 
Yan umekataliwa hadi na Baamedi ...Apo sio size yako umeingia kwa Wala Keki ya Taifa hili ww sogea Boko apo utapata viwanja vya size yako bia afu 2.
 
Yaani kuna sura zao tayari washakariri, ukija tu uko simple na gari yako ya kawaida au ukija tuu na mguu wanakuchukulia poa.

Mmiliki kama upo humu jamiiforum ebu fanya semina tena na wahudumu wako, una sehemu nzuri sana, una jiko zuri sana ila tayari wahudumu wako wanaambizana kwamba yule ana hela yule kapuku.

Nawasiliasha.

NB; Yule mzee anayekujaga na Ford Ranger alafu anawakimbia mabodigadi wake, hela zishaisha na amechomeshwa huko.
Wahudumu hao watauona ufalme wa mbingu kwa shida sanaaa
 
Back
Top Bottom