Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
Hawapo kwa sasa. Mita kadhaa ndo hospital ya Lugoda ilipo.. 😋 😋, kipindi hicho nipo na kampuni ya TNR kama uliwakuta..
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawapo kwa sasa. Mita kadhaa ndo hospital ya Lugoda ilipo.. 😋 😋, kipindi hicho nipo na kampuni ya TNR kama uliwakuta..
[emoji23][emoji23][emoji23]Nasikia huko ndo unapeleka Moto huku unaota Moto
Utakuwa unashinda naye saa 24?KAMA HAUNA DEMU utakufa
Ilinyesha mvua ya mawe kali sana mafinga last week.This week kuna mtu kanitumia picha,mafinga Kuna snow
. Mita kadhaa ndo hospital ya Lugoda ilipo.. 😋 😋, kipindi hicho nipo na kampuni ya TNR kama uliwakuta..
. Yeah mkuu Spartacus boy , 😁😁.. Mpe hai mzee Nyambo kama bado yupo..View attachment 3119606@Nyafwili hiyo picha ulipigiq hapa
Nyambo hayupo kwa sasa. Kwa nature ya lugoda pivot hawajaweka. Wameweka Ngwazi peke yake. Yeah mkuu Spartacus boy , 😁😁.. Mpe hai mzee Nyambo kama bado yupo..
. Ivi ludoga estate, bado hawajaweka Pivot irrigation systems??
Duh, basi mabadiliko yamefanyika mengi sana hapo Unilever, hizo pivot za Ngwazi tulifunga wenyewe na washkaji kutoka Zimbabwe.N
Nyambo hayupo kwa sasa. Kwa nature ya lugoda pivot hawajaweka. Wameweka Ngwazi peke yake
Anhaa nilisikiaga mkuu. Safi sana wakubwa. Sisi sahivi ndio tunafaidi matunda yenu.Duh, basi mabadiliko yamefanyika mengi sana hapo Unilever, hizo pivot za Ngwazi tulifunga wenyewe na washkaji kutoka Zimbabwe.
Yeah mkuu, kazi njema ✍️✍️✍️✍️✍️Anhaa nilisikiaga mkuu. Safi sana wakubwa. Sisi sahivi ndio tunafaidi matunda yenu.
Kwenu kabisa wapi? Mana dar watu wake wazaramo...ila kwasasa Dar inakaliwa na watanzania wote..pia maisha popote, baridi au joto watu wanaishi kama ilivyo nchi za Scandinavia.. nkLeo nimeenda kumtembelea jamaa yangu mmoja anaishi sehemu moja inaitwa Kilolo Mkoa wa Iringa.
Huyu ni mate wangu, nilisoma naye chuo kikuu anafanya kazi huku ni Afisa fulani.
Wazee hii baridi sio mchezo. Kesho nitaikimbia na kurudi kwangu Dar. Sijui wanaishije hawa watu. Yaani nimeingia jioni hii hapa kwake, kesho saa 7 naondoka niwaachie na taabu yao.
Ona hiyo Temperature inavyosoma.
View attachment 3117108
Hapa wameniwashia moto niote na shem ananiambia nikaoge. Hahaha hata kama maji ya moto, leo siogi.
View attachment 3117114
Wenyewe wanasema sasa ndio kipindi cha joto kwani wanakaribia msimu wa kuanza kwa mvua. 😀😀😀😀
Kipindi cha baridi ni kuanzia mwezi 2 hadi mwezi Septemba na peak huwa mwezi Juni hadi Agosti.😀😀😀
Kumbe ndio maana tunasikia watu wamefia ndani kwa kukosa hewa kwani wanapaswa mikoa na carbon monoxide inawaua.
Kwetu Singida mkuu. Nimewaachia baridi lao huko maana ni mateso yale.Kwenu kabisa wapi? Mana dar watu wake wazaramo...ila kwasasa Dar inakaliwa na watanzania wote..pia maisha popote, baridi au joto watu wanaishi kama ilivyo nchi za Scandinavia.. nk