Habari za muda huu,
Kwa munaelewa hii imekaa je wadau, yaani ipo hivi, kuna wakala anafanya shughuli za miamala yaanu nmb, crdb, nbc na nyrnginezo.
Sasa ukiweka pesa mwanzo ni millioni moja, na kwa kila millioni kwa mwezi unapata 50k, hii ni kusema ukiweka millioni kumi kwa mwezi utapata laki tano i.e 500k.
Wakala ni muaminifu hana janja njanja, kwa mwenye maoni mtazamo atoe ushauri je hii biashara ni faida au hamna kitu?
Kwa munaelewa hii imekaa je wadau, yaani ipo hivi, kuna wakala anafanya shughuli za miamala yaanu nmb, crdb, nbc na nyrnginezo.
Sasa ukiweka pesa mwanzo ni millioni moja, na kwa kila millioni kwa mwezi unapata 50k, hii ni kusema ukiweka millioni kumi kwa mwezi utapata laki tano i.e 500k.
Wakala ni muaminifu hana janja njanja, kwa mwenye maoni mtazamo atoe ushauri je hii biashara ni faida au hamna kitu?