Hii biashara inanipa stress wallah!

hahahah
naona wengi hatukuona fursa katika hili. hongera sales agent kwa kuwa na akili ya tofauti. ukiishi hivi kila siku utatoboa [emoji1421][emoji1421][emoji1421][emoji1421]
 
Mkuu pole sana!

Ila ungejaribu kuuzia hata wale vijana wanaouza barabara kwenye maguta na baiskel labda ingepunguza mzingo.

Ila tani 10 c mchezo mkuu pambana ziende angalau 3/4 ya mzingo
 
Hivi malighafi zipo za kutosha afu sukari inauzwa juu! Kumbe serikali yetu haiko makini kila siku inasema itafanya watz tuwe na maisha murua. Hayo maisha murua tutayapataje Kama mtu anafanya kazi soko la mazao yake linakuwa siyo la uhakika? Ni wakati wa kufanya maamuz sahihi

Afu wale watu wanaohangaika na democracy kwanini wasihangaike na mambo Kama haya? Ila samahani kwa kuzungumzia siasa sana

Ushauri: Jaribu kuongea hata na wale vijana wanauza miwa ya kumenya barabarani najua ukichanganya na wauza juice mzigo utapungua

Pole sana kamanda
 
Anzisha kijiwe cha kuuza juice ya miwa. Tafuta location nzuri piga kazi.
Hivi mkuu mko serious? Au me ndo nimechukulia picha kubwa!..ni Kama ulime tikiti eka 5 umshaur auze kwa vipande vya 500!..
Unajua kilimo Cha miwa gharama!.then aishie kuwek mashine akamue juice auze 500!!.aisee
 
Jamani tuelewane hapa! Kilimo Cha miwa sio lelemama Kama zao lolote lile..Bora alomshauri atengeneze sukari ! Atkeast ni level yake .lakini juice ya miwa?? Nitekeleze millions of money nije nifungie juic point?
Pole Sana mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…