figganigga
JF-Expert Member
- Oct 17, 2010
- 25,724
- 55,906
- Thread starter
-
- #261
Una akili sana mkuu. Ukiingia JF huwezi toka kapa.Uwe unakuna nazi ya kutosha unaweka kwenye fridge. Ukikata kupika unapasha tu maji unachuja zako tui. Mi nazi ya azam siwezi kuila tena. Nazi ya kawaida ina ladha kwenye msosi. Ile ya azam unasikia harufu tu ila ladha hamna. Kama dada anakujaga kwako mwambie awe anakukunia aweke kwa fridge uachane na nazi za azam
Ndo hali halisi mkuu. Una ushauri gani? Mbona mfuniko wa Joseverest hujasema au hujauona? [emoji23][emoji23]. Mwenzio siwezagi tabia ya kufake. Nashindwa.. Na nikitaka niumbuke labda.Hilo sahani au bati mkuu?
2 Wakorintho 13:14.[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi najua sana kupika ila nimewahi kuoa labda ni mmoja kati ya 100Wanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Si ndio yule Aroma of zanzibar?Kumbe tuko wengi tunaomfatilia aroma,yani huyo dada ndo mwalim mkuu wangu wa mapishi
Nakutafuta mkuu..Babu we unajua kupika?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sahamani kama Bati.Nunua sahani acha ubahili
Tupatie link basi nimemtafuta sijampataHizo ni chapati za maji?
Nakushauri ingia youtube utakutana na mwanamama Aroma kila aina ya pishi utalikuta kwake, ni vema kuangalia na kufanya kuliko kusoma.
Me pia mapishi mengi nimejifunzia youtube.
Turudi kwa topic yetu, chapati za maji, weka yai/mayai, vitunguu maji, karoti na hoho au kimoja wapo katika hivyo ili kuleta ladha na kukata ile harufu ya yai.
Mchanganyiko wako usiwe mzito sana wala mwepesi sana, size ya kati. hapo utatoa kitu mwake mwake, mafuta weka kiasi sio kama unakomoa, unapakaza tu juu ya chapati sio unamwagia.
Napika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...Mwanaume anajua mpaka kuunga mchuzi wa nazi anawahi kuoa kutafuta nn
Unakuta kwake kuna kibao cha chapati,cha kukunia nazi na kinu hahaha hao hawaoagi
Looooh!!!!we hapana kwa kweliNapika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika mtori mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini..
Napika kisamvu nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika chapati,maandaz mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini....
Na kufua,kudeki +kuosha vyombo ndo kazi ninayoipenda cjui mwanamke utanifanyia nini...
Na wewe SAHAMANI ndio nini?[emoji23] [emoji23] [emoji23] Sahamani kama Bati.
Heeeeeh unauliza mwanamke atakufanyia nini???Napika wali nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika mtori mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini..
Napika kisamvu nazi mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini...
Napika chapati,maandaz mwenyewe cjui mwanamke utanipikia nini....
Na kufua,kudeki +kuosha vyombo ndo kazi ninayoipenda cjui mwanamke utanifanyia nini...
Heshima kwenu wakuu,
Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.
Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani
Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.
Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
Watch "JUICE YA COCKTAIL YA MATUNDA" on YouTubeTupatie link basi nimemtafuta sijampata