kimbendengu JF-Expert Member Joined Jun 7, 2013 Posts 6,716 Reaction score 12,116 Oct 3, 2019 #41 Eti minamino
3llyEmma JF-Expert Member Joined Oct 23, 2017 Posts 6,172 Reaction score 6,884 Oct 3, 2019 #42 Inaitwa "Kunya humo humo" kwani kuna nini?
BlackPanther JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 9,185 Reaction score 8,715 Oct 4, 2019 #43 Natokea Kanda Maalum said: Siyo Gaucho Ni delima Click to expand... Kumbukumbu zangu zinaniijia kama sio wawili basi watu waliopigwa kanzu na kaka yao Fundi wa mpira kipindi hicho hakuna kama yeye Zinedine zizo...
Natokea Kanda Maalum said: Siyo Gaucho Ni delima Click to expand... Kumbukumbu zangu zinaniijia kama sio wawili basi watu waliopigwa kanzu na kaka yao Fundi wa mpira kipindi hicho hakuna kama yeye Zinedine zizo...
BlackPanther JF-Expert Member Joined Nov 25, 2015 Posts 9,185 Reaction score 8,715 Oct 4, 2019 #44 kombaME said: Kweli VVD ni beki bora, chenga kama hizi wanapigwa akina Smalling kila siku lakin watu hawana habari, amepigwa VVD ni habari dunia nzima.. Click to expand... Dawa yake Messi huyu, first league in uefa alikiona cha moto...hata hivyo ile tuzo walimbeba tu, Messi alistahili 😀 but I'm so happy na yeye ametwaa tuzo kuliko yule jamaa wanaembeba kila mwaka.
kombaME said: Kweli VVD ni beki bora, chenga kama hizi wanapigwa akina Smalling kila siku lakin watu hawana habari, amepigwa VVD ni habari dunia nzima.. Click to expand... Dawa yake Messi huyu, first league in uefa alikiona cha moto...hata hivyo ile tuzo walimbeba tu, Messi alistahili 😀 but I'm so happy na yeye ametwaa tuzo kuliko yule jamaa wanaembeba kila mwaka.
MUSHEKY JF-Expert Member Joined May 9, 2014 Posts 2,812 Reaction score 2,760 Oct 7, 2019 #45 Mtafute mwalimu kashasha
magnifico JF-Expert Member Joined Jan 14, 2013 Posts 11,075 Reaction score 24,634 Oct 8, 2019 #46 Takumi Minamino