Hii Chenga Kitaalam inaitwaje?

Inaitwa "Kunya humo humo"
kwani kuna nini?
 
Kweli VVD ni beki bora, chenga kama hizi wanapigwa akina Smalling kila siku lakin watu hawana habari, amepigwa VVD ni habari dunia nzima..


Dawa yake Messi huyu, first league in uefa alikiona cha moto...hata hivyo ile tuzo walimbeba tu, Messi alistahili 😀 but I'm so happy na yeye ametwaa tuzo kuliko yule jamaa wanaembeba kila mwaka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…