Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Angalu wanakuwa wamefaidi upendoNi swala la muda tu
Unapotumia hilo neno jekundu wekea copyright lina mwenyeweKilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani.
Kwa bongo ukiona hivyo unakwenda kutolewa upepo soonWabongo mnaweza haya mambo? Au ndio undava undava tu.
Oyaa dogo mkaldayo amka mara moja ujiandae kupeleka hao mbusii malishoni.Video inaonyesha wanaosadikika kuwa ni wapenzi wakishirikishana mambo.
Kilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani.
Wabongo mnaweza haya mambo? Au ndio undava undava tu.
Jamaa hana raha anajua anaigiziwa tu😂😂😂Video inaonyesha wanaosadikika kuwa ni wapenzi wakishirikishana mambo.
Kilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani.
Wabongo mnaweza haya mambo? Au ndio undava undava tu.
Huyo manzi anaongea kinyama kiredio ni mwanafunzi wa huyo.Jamaa hana raha anajua anaigiziwa tu😂😂😂
Tushafanya sana na hatukuwahi kuchukuliwa videoAngalu wanakuwa wamefaidi upendo
Tushafanya sana na hatukuwahi kuchukuliwa video ya maigizo mchezo wa TausiKuna hao masela hawanaga mambo mengi, shati ya buku 5 SIDO, suruali mtumba, kichwani dongo af wanamiliki pisi kali
Wadada wakenya waongoza kwa makomwe 🤣Nimependa walivyokumbatiana☺️
Kawaida sanaVideo inaonyesha wanaosadikika kuwa ni wapenzi wakishirikishana mambo.
Kilichofurahisha ni namna walivyokuwa wanaonekana ku bubujikwa na upendo hadharani.
Wabongo mnaweza haya mambo? Au ndio undava undava tu.
Wamekumbatiana vizuri Sana!Nimependa walivyokumbatiana☺️
Uchawi ni nini 🤣🤣Sipendi kuona watu wanapendana kwenye bando langu 😂