Masagala
JF-Expert Member
- Jan 28, 2017
- 2,278
- 3,960
Huoni watu wanavishana Pete Tena kwa kupigiana magoti,muda ukiisha wanauwana.W
Watu wengine mko kama wachawii😂😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huoni watu wanavishana Pete Tena kwa kupigiana magoti,muda ukiisha wanauwana.W
Watu wengine mko kama wachawii😂😂
Wenyewe wanasema, "Its better to have been loved and failed, than not to have been loved at all"Angalu wanakuwa wamefaidi upendo
Kaipata copyUnapotumia hilo neno jekundu wekea copyright lina mwenyewe
CC Lucas Mwashambwa
Kama mimi na weweNimependa walivyokumbatiana☺️
Thubutu..!Kama mimi na wewe
Ndio hivyo ila angalau wana enjoy wakati uliopoWataachana tu. 😥😥😥😥
Nani tupendane hivyo? 😭😭😭😭😭 tusimame njiani, nijue kuna mtu anaturekodi, nizidishe mbwembwe 🤔 nimshike, mwanaume awe mpole hivyo mwisho anishike kiuno na aondoke kama hatukuwa pamoja 🥺🥺🥺🥺🥺🥺Ndio hivyo ila angalau wana enjoy wakati uliopo
Awe handsome kama huyo jamaa aringe.Sema huyo jamaa kafanana sana na Ghayo TheMongo Barbarian Maghayo
Wapo wengi JF. Ila kibongo bongo bado ushamba mwingi. Mkifanya hivyo nyomi ya watu itabaki inawashangaaNani tupendane hivyo? 😭😭😭😭😭 tusimame njiani, nijue kuna mtu anaturekodi, nizidishe mbwembwe 🤔 nimshike, mwanaume awe mpole hivyo mwisho anishike kiuno na aondoke kama hatukuwa pamoja 🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Maghayo ni handsome wakimeru. Ila tu ni mweusi sana.Awe handsome kama huyo jamaa aringe.
Juzi tupo barabarani na shemeji yako kanishika takoKama sio igizo bas aliependa ni mdada, masela tukipenda hatuna mambo mengi
Oya myebusi huyu mkaldayo anazinguaOyaa dogo mkaldayo amka mara moja ujiandae kupeleka hao mbusii malishoni.
uumbwaaa
N de A
Sio igizo, it seems walisimama mda mrefu kiasi chaku attract attention ya aliewa record. Hiyo clip ilipostiwa insta na huyo dada alicomment kumshukuru alie wa record na kupost.Kama sio igizo bas aliependa ni mdada, masela tukipenda hatuna mambo mengi
Mmmmh! Kawivu kameniingia...alikamatia kabisa! Kuna wakuda wanaenjoy sanaJuzi tupo barabarani na shemeji yako kanishika tako
Nikamkata jicho halafu nikamwambia "toa mkono huoni watu wanatuangalia"🤣
Pale manzi ndo anaonesha kabisa kamwelewa sana mshkaji....ila mshkaji ni kama Hana Hela mfukoni hivi utulivu zero concentration zeroSio igizo, it seems walisimama mda mrefu kiasi chaku attract attention ya aliewa record. Hiyo clip ilipostiwa insta na huyo dada alicomment kumshukuru alie wa record na kupost.
Mimi niliiona Reddit.