Reli si ilikuwa ijengwe kwa trilion 7???? Hizo zimeongezekaje??? Maana mi najua sgr trl 7 na stiglas trl 6Acha uongo basi wewe mjamaa...mama ameongelea mkopo wa kujenga reli wa zaidi ya trillion 14 aliosaini leo...kuwa utalipwa ndani ya miaka 20. Hebu niambie leo ameongelea wapi mkopo wa covid wa trillion 1.3?
....Sawa tunalalamika, lakini hoja hupingwa kwa hoja. Je mtoa mada ametupotosha kwa andiko lake? Upi ni usahihi basi?Ila wabongo kulalamika ni kama kunywa maji yaani.
Tutatafuta kila namna yaani mpaka kipatikane hata kisentensi cha kulalamikia.
Tunalalamika mpaka.hata kwa vitu ambavyo hatuvijui wala kjvielewa vizuri.
Tunalalamikaaaaaaaaaaaaaaa asubuhi, mchana, jioni, usiku
Tunalalamikaaaaaaaaaaa
Ndivyo ilivyo. Wazungu walishagundua ni ngumu kuitoa CCM madarakani kwa kutumia wapinzani wachache wenye uelewa , wakati Watanzania wengi ni wajinga.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] wee lijamaa liongo kweli kweli !! Yaani mazungu haya yanataka waTZ tuelimike na kuwaadabisha mabadhirifu ya CCM na liserikali lao ? Hahahahaaaaa !! Wacha kicheke tuu !!!
Nani kakuambia mabeberu wanataka mjikomboe? Labda wanataka muweze kuhoji na kuanzisha fujo na baadae vita wauze siraha na sio muendeleeJapo sijaiona hiyo habari ya leo kuhusu kukopa na kujenga shule, ila ningependa nikujibu kwa nini Wazungu ni rahisi kutoa misaada, mikopo ya riba nafuu na mikopo ya bila riba katika elimu yetu.
Hii hali ilikuwepo tangu enzi za Kikwete, Wazungu kufadhili elimu yetu.
Nachowaza, Wazungu wameishagundua, Watanzania wengi ni wajinga kwa sababu ya kukosa elimu. Hali hii imepelekea wananchi kufanyiwa mambo ya hovyo, na hawahoji. Hili linawakera Wazungu sana.
Baada ya Wazungu kugundua, tatizo la Watanzania ni kukosa elimu, basi Wazungu wamekuwa wepesi sana kufadhili elimu yetu. Rejea Equip, World Bank, IMF etc.
Wazungu wanaamini, wakifadhili elimu ya Tanzania, basi Watanzania wengi wataelimika na hivyo kileta mabadiliko chanya katika nyanja za kiuchumi, kijamii na kisiasa.
Viongozi wa Tanzania hasa wa CCM wanalijua hili, ila hawana namna kwa sababu wanabanwa na masharti ya mikopo. Viongozi hasa wa CCM wanajua kwamba, anguko la CCM ni pale ambapo Watanzania wengi watapata elimu na kujitambua.
Mama Samia yupo sawa kabisa kukopa na kuboresha elimu, kwa sababu elimi ndio ufunguo wa maisha, ila wale waroho wa madalaka hawapendi kuona Watanzania wanajitambua.
Kwahiyo, tukope tuboreshe elimu yetu, ili baadae tuwe raia wawe majasiri wa kuwakaba mashati viongozi wabadhilifu.
Binafsi napendekeza, tujikite kukopa na kuboresha elimu kwanza kwa gharama yoyote ile.
Mikopo ya kuboresha uchumi huishia kwenye matumbo ya baadhi ya viongozi, lakini mikopo ya kielimu, matokeo tutayaona tu baada ya miaka kadhaa, pale vijana watakapojitambua na kuanza kuwabana viongozi wao.
Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
👇👇👇Inaonekana unavuta bangi ya ubora wa chini sana. Next time try a better quality weed
Chige aje tu aiseee.
Mada fikirishi, unfortunately sikuwapo around!!
Ndio afya ya taifa, ukiona taifa la watu milioni 60 mawazo yanafanana ujue hilo ni taifa mfuIla wabongo kulalamika ni kama kunywa maji yaani.
Tutatafuta kila namna yaani mpaka kipatikane hata kisentensi cha kulalamikia.
Tunalalamika mpaka.hata kwa vitu ambavyo hatuvijui wala kjvielewa vizuri.
Tunalalamikaaaaaaaaaaaaaaa asubuhi, mchana, jioni, usiku
Tunalalamikaaaaaaaaaaa
Tanzania ni taifa la watu milioni 60, mnataka taifa la watu milioni 60 watu wote wafanane mawazo kama mazombi?! Halafu Watanzania huwa wanalalamika tu sehemu nyingine nyingi huwa wanatoka na kuandamana kabisa.Tanzania tuna laana ya kulalamikia kila jambo utafikiria tumekalia vitu vyenye ncha Kali, ni watu tusio na jema kabisa
Nchi hii hata Yesu akiwa Rais watalalamika tu, kulalamika bila kuchukua hatua ni ujinga huoTanzania ni taifa la watu milioni 60, mnataka taifa la watu milioni 60 watu wote wafanane mawazo kama mazombi?! Halafu Watanzania huwa wanalalamika tu sehemu nyingine nyingi huwa wanatoka na kuandamana kabisa.
Kwani huwa wanafundishwaje mkuu?Mkuu ushawahi kutembelea shule ukaona Watanzania wanayofundishwa?? Hile sio Elimu ya kumkomboa mtu. Ni takataka
Ifafanue wewe hiyo pesa ya SGR italipwa vipi unajua miaka 20 ni kipindi kifupi sana. Jiandae kuwa mtumwa acha kuwa bedbugs
Kuwekeza kwenye huduma za jamii, kupitia mikopo, hakuna shaka ni mzigo kwa Taifa. Tuna safari ndefu kupata viongozi wenye maono ya kujitegemeaHabari wanajamvi,
Nilikuwa na Majukum huku North Korea nikapata Furaha Kupitia YouTube video mama amefafanua leo kuhusu 1.3T tulizokopa binafsi nimeona Kuna jambo ambalo watz tunaumizwa pasi sisi kujua kwa sababu za kisiasa za kikundi fulani.[emoji848]
Mama amesema tumepewa Concessional Loan ya miaka 20 na tunajua Tumekopa kujenga madarasa (Yaan hiii ndio ilikuwa amri ya mkopeshaji). Yaan umekopa to sustain free service deliverance na wamekupa miaka ishirini ya kuwalipa. Sisi tunaoelewa Conscession Loans ambazo ni either interest free/discounted, au la longer grace periods na zikiwa aimed kubeba sera fulani (Mfano hii lazima ujenge madarasa tu) zinakuwa na ubaya wake btw. Umejiuliza Kwa nini wasiruhusu tumalizie stigglers gorge? Au SGR? Au tu hata kuboresha Tanesco? Au hata kujenga hospitali?
Ni kwa sababu Sababu wana lengo la kuendelea kukufanya mtumwa. Wameshajua shule Tanzania ni bure wanataka ukajenge shule kwa kuwa hutaweza kulipa kupitia shule (Na kihasibu hili ni kosa, kukopa kwenda ku-invest kwenye non paying business ventures).
Wazungu wana akili sana. Sisi huku tunakaa kupiga makofi ya kusifu kuwa tumepewa miaka ishirini bila kujiuliza source of repayment of the facility na amortization factor yake na njia ipi ya concession tumepewa ili kulipa huo mkopo?
Hapa ni kuna uhasibu zaidi ila sio kila concession Loan ni ya kuichukua. Binafsi naona kwa sababu za kampeni(Kisiasa) wenye mamlaka wameamua kuchukua huu Mkopo na leo nasikia wazungu wametuongeza tena dola milioni 375 kwa mujibu mama.
Yaani tuna safari ya kuienda. Na ndefu Sana
SanaAfrica sijui tumelogwa na nani.