Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Hahaha daahbo gum kucheka cheka kama aliyeteuliwa nafasi ya mkuu wa mkoa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha daahbo gum kucheka cheka kama aliyeteuliwa nafasi ya mkuu wa mkoa
Nimecheka, na nimecheka zaidi nlivyojiuliza nacheka kwa sababu gani, baada ya kuona hakuna cha kuchekesha ikabidi niassume naicheka avatar yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] U crazy.Mm kwangu Sema na diamond... Yaan Hawana hata skendo Moja hawana shetani hawabariki
anyway tuwape mdaKwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.
View attachment 1142391
Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.
Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?
Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
Machuga wengi ni WachagaMchaga na muarachuga
Sawa mkuuJipe muda utanielewa tu mkuu...
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.
View attachment 1142391
Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.
Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?
Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
[/QUOT
Jua hili hao hajazaliwa dar ni chuga na sisi chuga hatutaki utani tukipenda ndio tumependa natujua kutunza mtu kama kweli tunawapenda.
Halafu tunatuliaga
Daah hii kaz ukute ww mwenyewe ata mahusiano yako hujui yanaendeleajeKwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.
View attachment 1142391
Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.
Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?
Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
Sisi tuliokula kiapo kwa state huwa hatufanyi mahusiano kizembe zembe wewe,tunasuuza rungu tunasepa.Daah hii kaz ukute ww mwenyewe ata mahusiano yako hujui yanaendeleaje
Hahahhahaaha dahMm kwangu Sema na diamond... Yaan Hawana hata skendo Moja hawana shetani hawabariki