Hii couple inajielewa sana

Hii couple inajielewa sana

Mm kwangu Sema na diamond... Yaan Hawana hata skendo Moja hawana shetani hawabariki
Nimecheka, na nimecheka zaidi nlivyojiuliza nacheka kwa sababu gani, baada ya kuona hakuna cha kuchekesha ikabidi niassume naicheka avatar yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] U crazy.
 
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.

View attachment 1142391

Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.

Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?

Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
anyway tuwape mda
 
Huyo jamaa huyo mpenzi wake ni wa muda mrefu sana toka wanasoma India i.e 2007 na kuendelea
 
Inapendeza sana...

Aika yupo bumper to bumper na jamaa yake, amuachi hata nukta...


Cc: mahondaw
 
Trie
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.

View attachment 1142391

Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.

Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?

Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
[/QUOT
Jua hili hao hajazaliwa dar ni chuga na sisi chuga hatutaki utani tukipenda ndio tumependa natujua kutunza mtu kama kweli tunawapenda.
Halafu tunatuliaga
 
Kwangu mimi binafsi ukiniuliza best couple ya mastaa wa bongo nitakuambia Navy Kenzo yani Aika na Nahreel.

View attachment 1142391

Hawa vijana wanajielewa sana they have no drama, maisha yao ya kimapenzi wameyaweka mbali sana na social media. Hata ule ukaribu na wasanii wenzao wajinga wajinga (mashosti) hawana.

Nadhani hizi zinaweza kuwa sababu za kuwafanya wadumu katika mapenzi na kama kundi la muziki, mana ni ngumu sana kuunda kundi halafu mke na mume ndo mnafanya kazi pamoja. Kama P Square pacha wameshindwana itakuwa wapenzi?

Hongereni sana Aika na Nahreel, achaneni na upuuzi puuzi leeni watoto wenu, fanyeni mziki, pigeni kazi kwa manufaa yenu na kwa manufaa ya watoto wenu na taifa kwa ujumla
Daah hii kaz ukute ww mwenyewe ata mahusiano yako hujui yanaendeleaje
 
Back
Top Bottom