Hii dawa ya kupunguza uzito inapatikana Tanzania?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2021
Posts
9,189
Reaction score
16,128
Mwaka 2017 FDA ya Marekani iliipitisha dawa ya Ozempic kuwa dawa ya kutibu kisukari. Baadaye ikaonekana dawa hiyo inasababisha madhara ya kupunguza uzito.

Walichofanya ni kuiongezea nguvu na kutokeza dawa ya kupunguza uzito iitwayo Wegovy. Dawa hii imesajiliwa na kupatikana Tz? Gharama zake zikoje?
 
Waje waseme tukapange foleni
 
Mtu anaetaka kupungua, ingia google search neno "50 cent liquid diet" utaiona. Ni simple sana, yeye alipungua kilo 27 kwa wiki tisa kwa ajili ya movie role. Hata ukifanya kwa mwezi mmoja tu unapungua sana. Unakula liquids tu, mitori supu juice maziwa etc.
 

Attachments

  • Screenshot_20240601-233058_1.jpg
    398.3 KB · Views: 7
🚮 nope. life is not that easy
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…