mbingunikwetu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2015
- 13,897
- 18,477
Kuna hii dhana ya kumsifia kiongozi fulani eti anaifungua nchi, kitu ambacho hata mwenyewe bila hata yeye mwenyewe anashangaa!!nchi ilifungwaje? nani aliifunga? maana serikali haijabadilika! Ilani ya uchaguzi inayotekelezwa haijabadilika!! Tatizo ni watu kujaribu kujikomba bila aibu!!
Watanzania tufanye kazi! hatuna mjomba kule nje ambako tunatamani kutuma mtu akalie lie hali!! Hakuna wa kutupa vya bure! sana sana mabeberu wanaitamani nchi yetu iliyosheheni maliasili waikombe! Tuwe macho!! Tukatae mikopo yenye masharti ya kutuondolea uhuru wetu juu ya maamuzi muhimu yahusuyo mambo ya kijamii na kiuchumi!! Tuchape kazi, tulipe kodi na Mungu atatusaidia!!
Watanzania tufanye kazi! hatuna mjomba kule nje ambako tunatamani kutuma mtu akalie lie hali!! Hakuna wa kutupa vya bure! sana sana mabeberu wanaitamani nchi yetu iliyosheheni maliasili waikombe! Tuwe macho!! Tukatae mikopo yenye masharti ya kutuondolea uhuru wetu juu ya maamuzi muhimu yahusuyo mambo ya kijamii na kiuchumi!! Tuchape kazi, tulipe kodi na Mungu atatusaidia!!