Hii EACOP ambayo hatupati usingizi kwa sababu kila siku tunapigiwa makelele kuihusu imepelekwa kortini

Hii EACOP ambayo hatupati usingizi kwa sababu kila siku tunapigiwa makelele kuihusu imepelekwa kortini

bilashaka mtakua na report yenu ya environment assessment so ni jukumu lenu kuishawishi mahakama (sa sijui mliifanya lini na wapi)
kila la kheri ktk kukimbiza upepo

Huu mradi hamuwezi kuufanya kibabe maana kwanza unafanywa na mabeberu, nyie hela hizo hamna, kawaida mabeberu huwa makini sana kwenye masuala ya mazingira, huwa hawaachii kijinga jinga kutundika miradi popote, wakieleweshwa vizuri kwa namna za kitaalamu wataskliza na kupiga pini.
 
Hapo hamna ulichoongea zaidi ya mihemko. Hizo pipeline zinapasuka mara ngapi kwa mwezi? Maana itakuwa risk kubwa kama frequency ya kupasuka itakuwa sawa na ile ya migomo ya watumishi wa afya wa Kenya.
Haijalishi hata likipasuka mara moja bado linaweza kufanya madhara makubwa kwenye environment. Frequency ya kupasuka sio muhimu. Muhimu ni kuwa pipeline kama hili likipasuka litafanya madhara makubwa kwa mazingira hata kama litapasuka mara moja tu
 
NGOs zimeenda kortini kupinga ujenzi wa pipeline ya EACOP

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges​

Tuesday November 24 2020​


Four NGOs claim that the project is yet to conduct an environmental and social impact assessment.

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges

IN SUMMARY​

  • The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.
  • The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.
Four non-governmental organisations have moved to the East African Court of Justice to block the construction of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) by Uganda and Tanzania.

The four — the Centre for Food and Adequate Living Rights Ltd and the Africa Institute for Energy Governance both based in Kampala; the Nairobi-based Natural Justice-Kenya and the Center for Strategic Litigation Ltd based in Zanzibar — want the construction of the pipeline stopped until the matter is heard and determined.

In the case filed on November 6 through the Kampala based M/S Semuyaba, Iga & Company Advocates together with Dalumba Advocates, the applicants are seeking orders against both Uganda and Tanzania ensures that, “prior to any similar project, the following are conducted; climate change impact assessment; Human rights impact assessment; and meaningful, effective and transparent public consultations ensuring robust community and broad public participation.”

The four NGOs claim that the EACOP project, announced a month ago by Uganda’s President’s Yoweri Museveni and his Tanzania’s counterpart John Magufuli is yet to conduct an environmental and social impact assessment as required by both the EAC Treaty and other international laws.

Protected areas

They claim it contravenes the EAC Treaty and protocols that determine the undertaking of such a project.

The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.

The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.

“As a requirement by national as well as the EAC law, the project developer for the EACOP project in Uganda must be issued with a certificate of Approval of Environment and Social impact Assessment approved by the government of Uganda’s National Environmental Management Authority but the same was not issued prior to the signing of the agreements by both Uganda and Tanzania,” reads the application. The matter is yet to be assigned judges

Tanzania ikiamua Hakuna mjinga wa kutuzuia
 
Haijalishi hata likipasuka mara moja bado linaweza kufanya madhara makubwa kwenye environment. Frequency ya kupasuka sio muhimu. Muhimu ni kuwa pipeline kama hili likipasuka litafanya madhara makubwa kwa mazingira hata kama litapasuka mara moja tu

Sisi hizi pipeline siyo mara ya kwanza kuwa nazo. Tuna TAZAMA ya miaka mingi sana na technology ya zamani, haijawahi pasuka. Sasa sembuse hili bomba la miaka ya 2020!!?
Wale NGO uchwala ambazo zinaishia Ltd. Sijui ni limited liability company?
 
Huu mradi hamuwezi kuufanya kibabe maana kwanza unafanywa na mabeberu, nyie hela hizo hamna, kawaida mabeberu huwa makini sana kwenye masuala ya mazingira, huwa hawaachii kijinga jinga kutundika miradi popote, wakieleweshwa vizuri kwa namna za kitaalamu wataskliza na kupiga pini.
Kwanza siku hizi wazungu wanatilia maanani sana maswala ya mazingira. Sio kama zamani. Kwa hivyo Total watakuwa very cautious na mradi huu ikiwa kutakuwa na evidence kwamba mazingira itakuwa negatively affected na mradi huu.
 
Huu mradi hamuwezi kuufanya kibabe maana kwanza unafanywa na mabeberu, nyie hela hizo hamna, kawaida mabeberu huwa makini sana kwenye masuala ya mazingira, huwa hawaachii kijinga jinga kutundika miradi popote, wakieleweshwa vizuri kwa namna za kitaalamu wataskliza na kupiga pini.
pesa zao,mafuta na usafirishaji wao mabeberu
nauliza hivii iyo ngo ilifanya environmental assessment lini na wapi kujua uharibifu wa mradi kwa mikoa8 wilaya 22 vijiji zaidi ya 200 na urefu wa km1400?
 
Kwanza siku hizi wazungu wanatilia maanani sana maswala ya mazingira. Sio kama zamani. Kwa hivyo Total watakuwa very cautious na mradi huu ikiwa kutakuwa na evidence kwamba mazingira itakuwa negatively affected na mradi huu.
Hakuna wa kuizuia sisi ni Tanzania
 
pesa zao,mafuta na usafirishaji wao mabeberu
nauliza hivii iyo ngo ilifanya environmental assessment lini na wapi kujua uharibifu wa mradi kwa mikoa8 wilaya 22 vijiji zaidi ya 200 na urefu wa km1400?

Hivi umesoma na kuelewa kinachosemwa au ndio yale ya lugha gongana mpaka mnakua kama yule waziri wenu Kabudi aliyekurupuka pale Tz inahojiwa namna gani mumetumia msaada wa corona, anajibu jinsi Tanzania ilipigana Comoros, DRC na sijui vitu gani, kabwatuka kama aliyedungwa sindano ya unga.
 
Hivi umesoma na kuelewa kinachosemwa au ndio yale ya lugha gongana mpaka mnakua kama yule waziri wenu Kabudi aliyekurupuka pale Tz inahojiwa namna gani mumetumia msaada wa corona, anajibu jinsi Tanzania ilipigana Comoros, DRC na sijui vitu gani, kabwatuka kama aliyedungwa sindano ya unga.

Yaani wewe na bichwa maji lako ndo unamtaja the Extra Ordinary Prof. Kabudi kijinga hivyo.
😁😁😀
 
Hivi umesoma na kuelewa kinachosemwa au ndio yale ya lugha gongana mpaka mnakua kama yule waziri wenu Kabudi aliyekurupuka pale Tz inahojiwa namna gani mumetumia msaada wa corona, anajibu jinsi Tanzania ilipigana Comoros, DRC na sijui vitu gani, kabwatuka kama aliyedungwa sindano ya unga.
nmejibu kiujumla!! ni jukumu lako kujiongeza
hayo ya kabudi huyaelewi so yaache tuu...
 
NGOs zimeenda kortini kupinga ujenzi wa pipeline ya EACOP

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges​

Tuesday November 24 2020​


Four NGOs claim that the project is yet to conduct an environmental and social impact assessment.

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges

IN SUMMARY​

  • The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.
  • The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.
Four non-governmental organisations have moved to the East African Court of Justice to block the construction of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) by Uganda and Tanzania.

The four — the Centre for Food and Adequate Living Rights Ltd and the Africa Institute for Energy Governance both based in Kampala; the Nairobi-based Natural Justice-Kenya and the Center for Strategic Litigation Ltd based in Zanzibar — want the construction of the pipeline stopped until the matter is heard and determined.

In the case filed on November 6 through the Kampala based M/S Semuyaba, Iga & Company Advocates together with Dalumba Advocates, the applicants are seeking orders against both Uganda and Tanzania ensures that, “prior to any similar project, the following are conducted; climate change impact assessment; Human rights impact assessment; and meaningful, effective and transparent public consultations ensuring robust community and broad public participation.”

The four NGOs claim that the EACOP project, announced a month ago by Uganda’s President’s Yoweri Museveni and his Tanzania’s counterpart John Magufuli is yet to conduct an environmental and social impact assessment as required by both the EAC Treaty and other international laws.

Protected areas

They claim it contravenes the EAC Treaty and protocols that determine the undertaking of such a project.

The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.

The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.

“As a requirement by national as well as the EAC law, the project developer for the EACOP project in Uganda must be issued with a certificate of Approval of Environment and Social impact Assessment approved by the government of Uganda’s National Environmental Management Authority but the same was not issued prior to the signing of the agreements by both Uganda and Tanzania,” reads the application. The matter is yet to be assigned judges

Gazeti kimbelembele hili sijui la nchi gani,linafalsafa Fulani hivi..........
 
NGOs zimeenda kortini kupinga ujenzi wa pipeline ya EACOP

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges​

Tuesday November 24 2020​


Four NGOs claim that the project is yet to conduct an environmental and social impact assessment.

Uganda-Tanzania pipeline runs into legal challenges

IN SUMMARY​

  • The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.
  • The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.
Four non-governmental organisations have moved to the East African Court of Justice to block the construction of the East African Crude Oil Pipeline (EACOP) by Uganda and Tanzania.

The four — the Centre for Food and Adequate Living Rights Ltd and the Africa Institute for Energy Governance both based in Kampala; the Nairobi-based Natural Justice-Kenya and the Center for Strategic Litigation Ltd based in Zanzibar — want the construction of the pipeline stopped until the matter is heard and determined.

In the case filed on November 6 through the Kampala based M/S Semuyaba, Iga & Company Advocates together with Dalumba Advocates, the applicants are seeking orders against both Uganda and Tanzania ensures that, “prior to any similar project, the following are conducted; climate change impact assessment; Human rights impact assessment; and meaningful, effective and transparent public consultations ensuring robust community and broad public participation.”

The four NGOs claim that the EACOP project, announced a month ago by Uganda’s President’s Yoweri Museveni and his Tanzania’s counterpart John Magufuli is yet to conduct an environmental and social impact assessment as required by both the EAC Treaty and other international laws.

Protected areas

They claim it contravenes the EAC Treaty and protocols that determine the undertaking of such a project.

The NGOs are now seeking a permanent injunction against Uganda, Tanzania and the EAC, whom they have sued, from constructing the pipeline through protected areas, among other orders.

The pipeline will transport crude oil from Hoima district in Uganda to Chongoleani in Tanga, Tanzania.

“As a requirement by national as well as the EAC law, the project developer for the EACOP project in Uganda must be issued with a certificate of Approval of Environment and Social impact Assessment approved by the government of Uganda’s National Environmental Management Authority but the same was not issued prior to the signing of the agreements by both Uganda and Tanzania,” reads the application. The matter is yet to be assigned judges

NGO gani hizo ambazo ni limited companies?
 
Jaribuni kugusa NGO yoyote muone Wazungu wakifungia mifereji wa misaada mnayopokea.
Mtakua lini na akili? Mtaendelea kuwa mbwa wa wazungu hadi lini? Unajua lengo kubwa la kupewa misaada ni nini? Unajua madhara ya misaada kiuchumi?
 
Wewe ubongo wako umepasuka mahali. Pipeline ya mafuta is the project that poses maximum risk to the environment. Kuna pipeline iliyopasuka huko gulf of Mexico chini ya maji na ikacause a very serious pollution. Samaki walikufa na mafuta yakatapakaa kilomita nyingi. Hata pipeline huwa inapasuka ardhini na kucause land pollution kubwa sana. Wewe utakuwa unakariri mashairi ya CCM tu lakini kila mtu mwenye akili timamu anafahamu kuwa pipeline huwa ina risk kubwa ya kucause pollution.
Kwani hilo ndio bomba la kwanza duniani la kusafirisha mafuta ghafi kujengwa? Na kama sio hayo mengine yaliyo tangulia kwanini yasingezuiliwa kujengwa kwa kigezo icho icho?
 
Nikajua kesi wamewasilisha kwenye mahakama za Tanzania aka 'Kangaroo Courts'. Ingekula kwao maanake uzoefu wa majaji wa Tz kisheria ni kwenye zile kesi zao pendwa za 'kuhujumu uchumi'.
 
After dredging work is completed, construction of 2 berths at Tanga port has began!










MY TAKE
All this is before construction of Uganda pipeline n crude oil terminal at Chongoleani starts
 
Back
Top Bottom