Jaman polen nakaz kwa wale waliobahatika kuajiliwa.na wale ambao wamejiajir.kwa wale wezangu na mimi 2naosoma kama mimi 2kazana one day yes----kuna ki2 kimoja kinanisumbua sana kichwani mwangu.why wa2 wasome mpaka huko juu(degree.mastaz nk)mwisho wakakosa kazi?je sisi 2naosoma 2nachukua picha gan kama si kukata tamaa ya masomo maana kuna kaka ze2 weng wapo mitaan na walikuwa wanauwezo wakimasomo.but now nipo first year ardhi unversity lakn nikichek soko la ajira nakata tamaa kabisa ya masomo.sasa wana JF 2fanye nin ili2ondoe tatizo hili ktk nchi ye2 iliyopoteza mwelekeo na inaelekea kwenye shimo baya?